Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timo werner anamsaada mkubwa kuliko mchezaji yoyote wa Chelsea pale mbele,game nyingi ambazo Timo amecheza Chelsea imepata ushindi kwenye game nyingi.

Faida ya Timo Werner

Japo Werner sio clinical finisher mzuri lakini faida zake ni

1.Anatengeneza assist nyingi

Ndio mchezaji mwenye assist nyingi kuliko mchezaji yoyote wa Chelsea

2.Anatengeneza pace

Kupitia kasi yake na jinsi anavyojiposition inafanya kutengeneza nafasi za wazi kwa machezaji wenzake kufunga au kufanya shambulio la hatari rejea goal la Kai havert dhidi ya Man city kwenye fainali ya UEFA bila movement aliyoifanya Werner goal la Kai havert lisingetokea na amekuwa anafanya Hili kwa mechi nyingi Sana.
Umeandika ukweli ila kwangu bora acheze Abraham kuliko hii mbumbumbu
 
Kwahiyo la Chelsea halimfai? Matakataka katika ubora wenu
Harvertz hakufaa kucheza kitimu km Chelsea, alifaa acheze timu km Arsenal, Real Madrid ,Barcelona timu zenye historia ya kueleweka.

Chelsea na Everton zina tofauti gani? utofauti ni Chelsea imechukua UEFA basi kitu ambacho hata Everton ikipata mmiliki tajiri wa kiarabu leo inaweza kukifanya.
 
Harvertz hakufaa kucheza kitimu km Chelsea, alifaa acheze timu km Arsenal, Real Madrid ,Barcelona timu zenye historia ya kueleweka.

Chelsea na Everton zina tofauti gani? utofauti ni Chelsea imechukua UEFA basi kitu ambacho hata Everton ikipata mmiliki tajiri wa kiarabu leo inaweza kukifanya.
Nyie vipi hamjapata mmiliki tajiri wa kiarabu?

Mashabiki wa hii timu ni takataka.
 
We kweli takataka
Harvertz hakufaa kucheza kitimu km Chelsea, alifaa acheze timu km Arsenal, Real Madrid ,Barcelona timu zenye historia ya kueleweka.

Chelsea na Everton zina tofauti gani? utofauti ni Chelsea imechukua UEFA basi kitu ambacho hata Everton ikipata mmiliki tajiri wa kiarabu leo inaweza kukifanya.
 
Kwahiyo ndo kusema mume pakuliwa sio?
Nyie si huwa munajitapa kua munazifunga Chelsea na Manchester United?, leo kiko wapi?
Musisingizie mechi za maandazi, kupakuliwa ni kupakuliwa tu haijalishi mulipakulieaje.
 
Harvertz hakufaa kucheza kitimu km Chelsea, alifaa acheze timu km Arsenal, Real Madrid ,Barcelona timu zenye historia ya kueleweka.

Chelsea na Everton zina tofauti gani? utofauti ni Chelsea imechukua UEFA basi kitu ambacho hata Everton ikipata mmiliki tajiri wa kiarabu leo inaweza kukifanya.
Hata aibu Hauna mkuu!? Acheze arsenal timu inamaliza nafasi ya kumi😀😀.

Arsenal ni genge la wavuta bangi tu

Hebu tupe history ya arsenal.
 
Hata aibu Hauna mkuu!? Acheze arsenal timu inamaliza nafasi ya kumi😀😀.

Arsenal ni genge la wavuta bangi tu

Hebu tupe history ya arsenal.
Hii ni mara ya kwanza Arsenal kua nje ya top six kwa miaka zaidi ya 25.

Katika hiyo miaka 25 Chelsea haijawa ndani ya top six mara ngapi?

2015/ 16 chelsea ilishika nafasi ya ngapi?
 
Nadhani hata yeye mwenyewe angeikataa hiyo offer ya kujiunga na arsenal.

Arsenal genge la wavuta bangi tu.
Kai ni kiungo.

Ila naona kawa mshambuliaji. Nafikiri ni kuanzia mechi nne za mwisho za msimu uliopita amechezeshwa mshambuliaji.

Chelsea haina mshambuliaji? Nasikia mnasema mshambuliaji wenu ana mchango mkubwa kwakua anatoa assisst. Kazi ya mshambuliaji ni kutoa assisst?
 
Kai ni kiungo.

Ila naona kawa mshambuliaji. Nafikiri ni kuanzia mechi nne za mwisho za msimu uliopita amechezeshwa mshambuliaji.

Chelsea haina mshambuliaji? Nasikia mnasema mshambuliaji wenu ana mchango mkubwa kwakua anatoa assisst. Kazi ya mshambuliaji ni kutoa assisst?
Sasa Kama yupo kwenye position ya kutoa assist kwanini asitoe assist mkuu!?.
 
Hii ni mara ya kwanza Arsenal kua nje ya top six kwa miaka zaidi ya 25.

Katika hiyo miaka 25 Chelsea haijawa ndani ya top six mara ngapi?

2015/ 16 chelsea ilishika nafasi ya ngapi?
Hivi unajua wewe ni shabaki mandazi Kabisa.
25 years unajisifia kuingia top six wakati Chelsea inashinda mataji makubwa ya ulaya😀😀.
Mashabiki was arsenal Nani kawaroga jamani huh!?
 
Kai ni kiungo.

Ila naona kawa mshambuliaji. Nafikiri ni kuanzia mechi nne za mwisho za msimu uliopita amechezeshwa mshambuliaji.

Chelsea haina mshambuliaji? Nasikia mnasema mshambuliaji wenu ana mchango mkubwa kwakua anatoa assisst. Kazi ya mshambuliaji ni kutoa assisst?
Nyie arsenal si mna washambuliaji, je mnashinda mataji gani!?.
 
Binafsi mashabiki wa Chelsea bongo nawaonaga kama washamba waliochelewa kuujua mpira, mnashabikiaje Chelsea timu ya 2005 au mpira mmeanza kushabikia 2010, vinginevyo ni mamluki mliohama timu.
Kameze panado maana kila siku maumivu.
 
Binafsi mashabiki wa Chelsea bongo nawaonaga kama washamba waliochelewa kuujua mpira, mnashabikiaje Chelsea timu ya 2005 au mpira mmeanza kushabikia 2010, vinginevyo ni mamluki mliohama timu.
Hawa wwe mjanja na arsenal yako ya viwanda iliyoanzishwa1700.
 
Back
Top Bottom