mrisho abdi58
Member
- Sep 20, 2017
- 11
- 1
Hivi unaikumbuka Chelsea ile ya ubingwa wa mwaka Jana walivyopokea vipigo viwili mfululizo kutoka kwa Liverpool na arsenal na tokea hapo wao walikua ni watu wa ushindi mbaka wakachukua ubingwa. Sasa story hii kama inataka kufanana ya arsenal baada ya kupokea vichapo viwili mfululizo kutoka kwa stoke na Liverpool. Toka kufungwa na Liverpool arsenal ni ushindi tu na suluhu