Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivyo vikombe ulivyochukua ni vya historia lakini miaka hii huna chakutamba tangu 2000 mpaka leo hakuna club yoyote ya England ilioizidi Chelsea kwa makombe na pia sisi ndio tulioingia Mara nyingi UEFA nusu fainal kuliko team yoyote ya England

Kumbukeni, we are the king of London 💪💪💪
 
Hivyo vikombe ulivyochukua ni vya historia lakini miaka hii huna chakutamba tangu 2000 mpaka leo hakuna club yoyote ya England ilioizidi Chelsea kwa makombe na pia sisi ndio tulioingia Mara nyingi UEFA nusu fainal kuliko team yoyote ya England
Chelsea imeanzishwa mwaka 2000? Mbona kila shabiki ndiyo mwaka anaotaja klabu yake imeanza kua na historia?

Hivi hata Legia Marle beki wenu wa kulia kuna anayemjua kati ya nyinyi mnaokuja kupiga kelele hapa?
 
Chelsea imeanzishwa mwaka 2000? Mbona kila shabiki ndiyo mwaka anaotaja klabu yake imeanza kua na historia?

Hivi hata Legia Marle beki wenu wa kulia kuna anayemjua kati ya nyinyi mnaokuja kupiga kelele hapa?
Kwanza kabisa UEFA una ngapi?
 
Hii ni timu au genge la wahuni?

255657567400_status_e1eba49e0de94a9e997a734aecfa208c.jpg
 
Club kubwa hupimwa pia na wingi wa vikombe pamoja na Ukwasi walionao.

Kwa vigezo hivi Si Chelsea wala huyo Aston Villa anayetukaribia.

We are Gunners forever
King of London my foot.


Unajiita King of London na makombe ya mbuzi.
 
Kama vikombe nimechukua vingi kabla yako.......Utaniambia nini

Kama UEFA nimeshiriki mara nyingi kabla yako.....Utaniambia Nini

Mkuu Mwaka huu, tunakwenda kuweka Historia
Kuweka historia kwa wachezaji wa mafungu mafungu?

Kupata vichekesho vingine kama hivi, Bonyeza 1.
 
Kwanini nikiuliza issue ya UEFA mashabiki wa Arsenal mnapanic Sana?
Nikipaniki hua sijibu nasubiri niwe sawa kiakili.

Plastiki unataka timu yako iangaliwe kuanzia 2000 kwahiyo legia Marle tumfute kwamba hajawahi kuchezea chelsea kwakua alicheza kabla ya 2000?
 
Back
Top Bottom