Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,824
- 57,426
Hivyo vikombe ulivyochukua ni vya historia lakini miaka hii huna chakutamba tangu 2000 mpaka leo hakuna club yoyote ya England ilioizidi Chelsea kwa makombe na pia sisi ndio tulioingia Mara nyingi UEFA nusu fainal kuliko team yoyote ya England
Kumbukeni, we are the king of London 💪💪💪


