Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Hii team ni kama msondo ngoma tu
Hii team ni kama msondo ngoma tu
Lautaro huyu huyu......Tetesi Lautaro Martinez to Arsenal...
Lukaku amesaini mkataba mpya sidhani kama Martinez ataondokaTetesi Lautaro Martinez to Arsenal...
Haaahaa Ingekuwa ni mimi ningemsajili huyu kwa hela ya Maddison, namleta Odegaard na Ramsdale nafunga usajili.Lautaro huyu huyu......
Aseno badala walete mido mshambuliaji wanazunguka zunguka tu
Dili ngumu hili ukizingatia wameuza mchezaji mzuri HakimiLukaku amesaini mkataba mpya sidhani kama Martinez ataondoka
Ni ngumu ila siyo kwamba haiwezekani. Conte ameondoka kwakua klabu imesema haina pesa, ikatokea kuna pesa nyingi mezani wanaweza kuconsider ila sasa Arsenal ya kuweka pesa ndefu sana iko wapi?Dili ngumu hili ukizingatia wameuza mchezaji mzuri Hakimi
James Maddison kwa bid £70m Leicester wapo tayari kumuachia, ana mkataba paka 2024, Sasa hii timu yetu kwa pesa hiyo sijui tu.Ni ngumu ila siyo kwamba haiwezekani. Conte ameondoka kwakua klabu imesema haina pesa, ikatokea kuna pesa nyingi mezani wanaweza kuconsider ila sasa Arsenal ya kuweka pesa ndefu sana iko wapi?
Hapo inajiambia mbona tuna Auba, Martinell, Balogun, Laca n.k.
Hua ni trick ya kuwin local supporters.Tammy Abraham loan with an obligation to buy, Chelsea wanataka around £40m
Tammy
Ramsdale
Maddison
Ben white
Imekuaje tunataka waingereza tu this window?
Time flies, hata Madrid walijivunia zaidi madrid ya kina Figo kuliko hawa kina Vinicius jr.View attachment 1872500
Miaka hiyo unajivunia kuwa Arsenal,ila sasa daah.........
Kwa hiyo madrid nayo imeporomoka kama Asenyani?Time flies, hata Madrid walijivunia zaidi madrid ya kina Figo kuliko hawa kina Vinicius jr.
Walipigwa ngapi?Mnajua matokeo ya jana ya United dhidi ya Brentford?
Kama hamjui labda ni kwavile hayapigiwi kelele kama ya Arsenal.
Wamesuluhu. HawajapigwaWalipigwa ngapi?
Tukifanya masihara chama kitakuwa la kuisaka nafasi ya 5,6 sinaga imani saana na wachezaji wa kingereza.Tammy Abraham loan with an obligation to buy, Chelsea wanataka around £40m
Tammy
Ramsdale
Maddison
Ben white
Imekuaje tunataka waingereza tu this window?