makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,839
- 103,938
Madrid ya kina figo ilibeba uefa moja tu..Time flies, hata Madrid walijivunia zaidi madrid ya kina Figo kuliko hawa kina Vinicius jr.
Madrid ya kina figo ilibeba uefa moja tu..Time flies, hata Madrid walijivunia zaidi madrid ya kina Figo kuliko hawa kina Vinicius jr.
Katika usajili kuna vitu vinaangaliwa.
Weka pia na bei ya Magwaya ,Bissaka na Fred.
Unatoa 40M anakuja De Beek kwaajili ya kupasha moto benchi.Weka pia na bei ya Magwaya ,Bissaka na Fred.
Ngoja tuone Varane na White nani atashine, mimi kama Arsenal fan naona White kama CB afananishwe na van dijk tu hapo EPL.Unatoa 40M anakuja De Beek kwaajili ya kupasha moto benchi.
Miaka 3 nyuma Varane alikua ana pace ya hatari. Kitu ambacho ni kigumu kwa CB, yaani kwa pace yake angeweza kumtrack Saka au Salah na kumfikia.Ngoja tuone Varane na White nani atashine, mimi kama Arsenal fan naona White kama CB afananishwe na van dijk tu hapo EPL.
Halafu ndio kila siku wanakuja kutujazia jukwaa letu..Wamesuluhu. Hawajapigwa
Kama wa yangaKwa hiyo madrid nayo imeporomoka kama Asenyani?
Mashabiki wa hiki kitimu ni vituko tupu.
Arsenal yenyewe haijawahi shine, itakua huyo white, sijui black.Ngoja tuone Varane na White nani atashine, mimi kama Arsenal fan naona White kama CB afananishwe na van dijk tu hapo EPL.
Sure mzee, mtazamo wako kati ya Bruno Guimares na Locatelli...Miaka 3 nyuma Varane alikua ana pace ya hatari. Kitu ambacho ni kigumu kwa CB, yaani kwa pace yake angeweza kumtrack Saka au Salah na kumfikia.
Baada ya majeruhi pace imeshuka na amekua ana makosa ya hapa na pale. Kwenye Euro tumeona namna amefanya makosa katika mechi angalau tatu.
Kumuweka eneo moja na Maguire ni kamari. Inaweza ikalipa ama la, ingawa miaka 28 kwa CB siyo tatizo sana ila White ana faida leo mpaka miaka 5 mbele. White ni mzuri kwa mipira ya mbali kitu ambacho CB wa Arsenal aliyekua anakiweza ni Luiz.
White kaja kusaidia mashambulizi.
Sisi huwa tunashine kwa Nyumbu united na Cheltako tuArsenal yenyewe haijawahi shine, itakua huyo white, sijui black.
Kweli ukipenda, hata kipofu utamwita chongo.
Msimamo wa Locatelli unajulikana, yeye anataka kwenda Juve. Arsenal walipeleka ofa iliyotakiwa mchezaji akagoma, mchezaji wa hivi anaweza kua bad influence kwa wenzake.Sure mzee, mtazamo wako kati ya Bruno Guimares na Locatelli...
Binafsi naona Locatelli EPL haiwezi kumshinda ana qualities zote za kuwa top Star hapo Arsenal, ila Guimares is more talented than locatelli tatizo ni kama EpL itamSuit kwa uchezaji wake Kutokana na wachezaji wengi wa America ni kama wanastrugle kuipata form EpL
kweli mzee, the Athletic wanasema kuna U-turn Arsenal wameifanya Xhaka kuextend mkataba.Msimamo wa Locatelli unajulikana, yeye anataka kwenda Juve. Arsenal walipeleka ofa iliyotakiwa mchezaji akagoma, mchezaji wa hivi anaweza kua bad influence kwa wenzake.
Assuming kwamba angekua yupo tayari kuja na options ni mbili kati yake na Bruno ... Kwangu naona Bruno angefaa ingawa wote statistically ni attack minded players.
Kila mmoja anaperform duties ambazo zinadetermine tempo ya game, wote ni long range expert ila Bruno ni mzuri katika passing, ana accuracy nzuri yaani huyu ni Xhaka ila anayejua pasi kama Partey so mi ningekufa na huyu.
Arsenal hatuna bahati mbaya sana ya wachezaji wa Brazil kutudodea ukilinganisha na timu zingine za Uingereza nafikiri hiyo tamaduni itatubeba zaidi na zaidi hata mbele ya huyu Bruno.
Dah ma dmf wa kumwagakweli mzee, the Athletic wanasema kuna U-turn Arsenal wameifanya Xhaka kuextend mkataba.
Ulinzi ulishakua imara.Naona Ben White ametangazwa rasmi. Atavaa jezi #4. Karibu Ben.
View attachment 1874394
Sasa kama ulinzi utaimarika, tuongeze nguvu na ubunifu katika viungo na washambuliaji tuongeze magoli na kushinda mechi. COYG!!!