Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee wa Statistics tuishi humo, Stats zinaonesha Saka, Emilison, partey na Tierney ndio nguzo ya timu, Mimi namuongeza na Ben White hahha
IMG_20210726_130818.jpg
 
Usajili wa msimu huu ni mgumu kwa kila timu; kweli Covid kiboko.
 
Maendeleo ya Timu yetu yamefanya wengi wetu kupunguza kuja kwenye uzi wetu.

Power is not permanent, huu ni muda wa kuisuka timu upya, haijalishi tutahitaji miaka 2 au 3 zaidi.

Hongereni kwa nyote mliotuwakilisha hapa bila kuchoka.

Chelsea fans naona mmejua kutamba na kutukeraa kwenye jukwaa letu baada ya kubahatisha UEFA, hongera kutuchangamsha.

Kumbukeni, tunarudi kwa kishindo 💪

We are Gunners forever 💪💪💪💪💪
Sisi tuna UEFA mbili wewe una UEFA ngapi? Na kubahatisha kukoje?
 
Ndio mnavyojidanganya hiv kwa sajili hizi za pound mil 2 ndio mtafanikiwa au mtazidi kuwa wasindikizaji?
Kama vikombe nimechukua vingi kabla yako.......Utaniambia nini 😜😜

Kama UEFA nimeshiriki mara nyingi kabla yako.....Utaniambia Nini😜😜

Mkuu Mwaka huu, tunakwenda kuweka Historia 💪💪
 
Mzee wakazi, wewe hujengi bali unabomoa.
Nikiikumbuka Arsenal ya kina Dasilva, Viera, Henry, Ashley Cole, Lijumbag, Wiltod, kolo ture, Becampu, huwa najipa jibu kua Arsenal inakwenda kua kua kama Sandaland, haki ya mama.
Mkuu ni kweli Arsenal yetu imeyumba lakini bado ni Club kubwa Ulaya.

Tutafika tu 💪💪
 
Kama vikombe nimechukua vingi kabla yako.......Utaniambia nini 😜😜

Kama UEFA nimeshiriki mara nyingi kabla yako.....Utaniambia Nini😜😜

Mkuu Mwaka huu, tunakwenda kuweka Historia 💪💪
Hivyo vikombe ulivyochukua ni vya historia lakini miaka hii huna chakutamba tangu 2000 mpaka leo hakuna club yoyote ya England ilioizidi Chelsea kwa makombe na pia sisi ndio tulioingia Mara nyingi UEFA nusu fainal kuliko team yoyote ya England
 
Hivyo vikombe ulivyochukua ni vya historia lakini miaka hii huna chakutamba tangu 2000 mpaka leo hakuna club yoyote ya England ilioizidi Chelsea kwa makombe na pia sisi ndio tulioingia Mara nyingi UEFA nusu fainal kuliko team yoyote ya England
Chelsea ni club ya vijana wenye umri chini ya miaka 25.
Kipindi naanza kushabikia soccer la uingereza (1998) mpinzani wangu mkubwa alikua Arsenal na Liverpool, sikuwahi kuwaza Chelsea ya Dimateo itakuja kua club kubwa.
Kweli maisha yanakwenda kasi.
 
Ilikua club kubwa, ila kwa sasa ni kama Aston villa.
Club kubwa hupimwa pia na wingi wa vikombe pamoja na Ukwasi walionao.

Kwa vigezo hivi Si Chelsea wala huyo Aston Villa anayetukaribia.

We are Gunners forever 💪💪💪
 
Back
Top Bottom