Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2021-07-19-17-49-20-57.jpg
 
Umetoka kusema timu kubwa haisumbuliwi na usajili kwahiyo chelsea timu ndogo?
Chelsea ni timu ndogo yenye uefa, timu kubwa zimebaki kushangaa kombe likiletwa London wanaitikia huoooo kama umeme umerudi
 
Ben White deal limeisha.
Romano anasema sehemu ya mkataba imeshafikiwa bado Ben kurudi kutoka mapumziko kumalizia sehemu iliyobaki.

So Arsenal imespend zaidi ya 70M na inaendelea kuspend lakini sioni kama tuna mpango na enforcer. Lokonga ana stats nzuri ila kumtumainia mchezaji kutoka ligi nyingine aendane na ligi nyingine kwa haraka ni tricky.
 
Ben White deal limeisha.
Romano anasema sehemu ya mkataba imeshafikiwa bado Ben kurudi kutoka mapumziko kumalizia sehemu iliyobaki.

So Arsenal imespend zaidi ya 70M na inaendelea kuspend lakini sioni kama tuna mpango na enforcer. Lokonga ana stats nzuri ila kumtumainia mchezaji kutoka ligi nyingine aendane na ligi nyingine kwa haraka ni tricky.
Dogo anaonekana ana kila sifa ya kuwa best on the pitch, interview yake inaonesha ana good personality, I hope tumepata mfia timu kama Patrick Viera.
 
Ben White deal limeisha.
Romano anasema sehemu ya mkataba imeshafikiwa bado Ben kurudi kutoka mapumziko kumalizia sehemu iliyobaki.

So Arsenal imespend zaidi ya 70M na inaendelea kuspend lakini sioni kama tuna mpango na enforcer. Lokonga ana stats nzuri ila kumtumainia mchezaji kutoka ligi nyingine aendane na ligi nyingine kwa haraka ni tricky.
EPL ni ligi ngumu sana, kumtumainia Lokonga ni kucheza kamari!.. Dogo ana statis nzuri lakini anaweza akastruggle msimu wake wa kwanza kama pepe!. Kiukweli mimi napenda sana dili la ben white litick japo ni kama tunataka kuuziwa kwa bei kubwa lakini naamini ataperform vizuri sana pale kati. Tukimpata madisson japo bei yake haina uhalisi tutafanya makubwa sana msimu ujao
l
 
EPL ni ligi ngumu sana, kumtumainia Lokonga ni kucheza kamari!.. Dogo ana statis nzuri lakini anaweza akastruggle msimu wake wa kwanza kama pepe!. Kiukweli mimi napenda sana dili la ben white litick japo ni kama tunataka kuuziwa kwa bei kubwa lakini naamini ataperform vizuri sana pale kati. Tukimpata madisson japo bei yake haina uhalisi tutafanya makubwa sana msimu ujao
l
Ila mimi naamini tuna ukuta mzuri bado. Hakuna haja ya panic buy kwa White ilibidi tutafute RB nahisi akili ya management ni Chambers kua RB.

Pia nafikiri Bellerin na Soares bado wapo hivyo hawaoni umuhimu wa kusajili RB.

Kimbembe bado hatujapata kiungo mshambuliaji. Renato Sanches ni dili poa.
 
EPL ni ligi ngumu sana, kumtumainia Lokonga ni kucheza kamari!.. Dogo ana statis nzuri lakini anaweza akastruggle msimu wake wa kwanza kama pepe!. Kiukweli mimi napenda sana dili la ben white litick japo ni kama tunataka kuuziwa kwa bei kubwa lakini naamini ataperform vizuri sana pale kati. Tukimpata madisson japo bei yake haina uhalisi tutafanya makubwa sana msimu ujao
l

Ben White usiongelee tena, ni deal done, bado medical. Mimi hapo akiongezeka Maddison, siku hiyo nitafanya sherehe
 
Ila mimi naamini tuna ukuta mzuri bado. Hakuna haja ya panic buy kwa White ilibidi tutafute RB nahisi akili ya management ni Chambers kua RB.

Pia nafikiri Bellerin na Soares bado wapo hivyo hawaoni umuhimu wa kusajili RB.

Kimbembe bado hatujapata kiungo mshambuliaji. Renato Sanches ni dili poa.

Renato sahau, he is heading to Barca on loan with option to buy. 100% Bellerin anaondoka, I have no regret kwa sababu hata kwenye pre season inaonekana akili yake haipo Arsenal. I believe Maddison is coming, najua Newcastle watapigwa hela nzuri kwa Willock. AMN anaweza kuondoka pia
 
EPL ni ligi ngumu sana, kumtumainia Lokonga ni kucheza kamari!.. Dogo ana statis nzuri lakini anaweza akastruggle msimu wake wa kwanza kama pepe!. Kiukweli mimi napenda sana dili la ben white litick japo ni kama tunataka kuuziwa kwa bei kubwa lakini naamini ataperform vizuri sana pale kati. Tukimpata madisson japo bei yake haina uhalisi tutafanya makubwa sana msimu ujao
l
Haya msimu ujao ndo nitapochoka na Asernal yaani, tangu 2015 tunasema msimu ujao... 😇😇
 
EPL ni ligi ngumu sana, kumtumainia Lokonga ni kucheza kamari!.. Dogo ana statis nzuri lakini anaweza akastruggle msimu wake wa kwanza kama pepe!. Kiukweli mimi napenda sana dili la ben white litick japo ni kama tunataka kuuziwa kwa bei kubwa lakini naamini ataperform vizuri sana pale kati. Tukimpata madisson japo bei yake haina uhalisi tutafanya makubwa sana msimu ujao
l
Mkuu, Lokonga ni mchezaji wa baadae japo anaweza kupangwa kwenye first team kama atafanya vizuri,

Arsenal walihusishwa na Ruben Neves, pia walituma ofa kwa locatelli, hiyo maana yake nini?... wanatafuta mtu wa kupartner na partey currently ila sio hawa madogo kina Lokonga.
 
Mkuu, Lokonga ni mchezaji wa baadae japo anaweza kupangwa kwenye first team kama atafanya vizuri,

Arsenal walihusishwa na Ruben Neves, pia walituma ofa kwa locatelli, hiyo maana yake nini?... wanatafuta mtu wa kupartner na partey currently ila sio hawa madogo kina Lokonga.
Locateli bodi iachane naye.

Yeye anataka kwenda Juve.

Sassuolo wameweka ada wanayotaka, Juve wamepeleka ada pungufu Arsenal wametoa kiasi kinachotakiwa, ila mchezaji bado akili ipo Juve.

Mchezaji wa hivi anakuja kua kama tevez alipokua united au courtois chelsea na bwana Balotelli alipokua city.

Huyu ni wa kutemana naye.
 
😂😂😂 Wachezaji wa Arsenal bhana 😂😂😂 ety Lokonga

Yani jina tuu unaona kabisa hapa hatuna mchezaji Yan tumepigwa jumla
 
Back
Top Bottom