Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wachezaji wa Arsenal bhana ety Lokonga

Yani jina tuu unaona kabisa hapa hatuna mchezaji Yan tumepigwa jumla
Me wameni furahisha pale kwa Kokoko tu, hivi Kokoko si viatu vya mchuchumio hivyo!

Leo wameona watuletee Ukonga badala ya Segerea, jinga sana hawa jamaa
 
Kifupi kila shabiki wa mpira mpaka wachezaji tunaowatamani wanatuona hatuna ambition, tupo tupo tu, kwa kweli kipenda roho hula nyama mbichi, ila ndiyo timu yetu, tajiri mpaka board hovyo, lini itatokea revolution pale ya kufa mtu turudi kuwa contenders of titles tena?!
Hicho kitu mkuu sahau, tena sahau kabisaa.
Binafs nawapeni misimu mitatu munashuka daraja.
 
Hicho kitu mkuu sahau, tena sahau kabisaa.
Binafs nawapeni misimu mitatu munashuka daraja.
Kushuka daraja ni ngumu kwa Arsenal ila sasa kuwemo katika top 5 hapo ndipo tutakosekana Labda ngoja tuone watasajili wakali wangapi wenye ubunifu hapo kati na kule mbele!!!
 
Chipukizi ndio wataturudisha UEFA, sio hao wazoefu, wanalipwa pesa mingi Afu impact wanaleta watoto kina Rowe na Saka..

Juzi Arteta kawatupia kijembe anasema kule mbele kwa quality waliyonayo wajitathimini nafasi wanazopoteza..
Ni kweli wachezaji chipukizi ni wazuri kama ukichanganya na wazoefu unapata timu yenye balance nzuri ila sio uweke wote wawe chipukizi ndani ya kikosi utaumia.
 
Kuna sajili mbili za nguvu zinakuja, kuweni na amani. my only worry ni kutokuwa na kikosi kipana this season
Ngoja tuone muda unaongea kama tukiwapata hao wachezaji wawili yaani Madison na wengineo wenye uzoefu hapo kati na mmoja kule mbele.

Tutawasha moto msimu ujao!!!!
 
Ngoja tuone muda unaongea kama tukiwapata hao wachezaji wawili yaani Madison na wengineo wenye uzoefu hapo kati na mmoja kule mbele.

Tutawasha moto msimu ujao!!!!
Tatizo hakuna mchezaji wa maana atakae hitaji kuja Arsenal.
 
Kuna sajili mbili za nguvu zinakuja, kuweni na amani. my only worry ni kutokuwa na kikosi kipana this season
Kwanza tuwe na kikosi bora(1st 11) kisha mambo ya kikosi kipana yatakuja baadae, Liverpool ilitamba ikiwa na kikosi bora cha wachezaji 11, kwengine ni akili ya kocha ya kuzungusha zungusha wachezaji. Na kuombea majeruhi yasikukamate.. Hapa ndio ukocha wa mtu unapoonekana.
 
Ngoja tuone muda unaongea kama tukiwapata hao wachezaji wawili yaani Madison na wengineo wenye uzoefu hapo kati na mmoja kule mbele.

Tutawasha moto msimu ujao!!!!
Madisson huyu mwenzenu wala sina imani nae, naiona flop hii msimu ujao kama tutasajiri, wachezaji wa kiingereza bwana, aahh!! Hawana dhamana. Ni aidha wazungurukwe na wachezaji bora au wacheze timu za midtable huko huko.. Ni wachache saana walioonyesha uwezo timu kubwa haswa haswa hawa viungo washambuliaji.
 
Madisson huyu mwenzenu wala sina imani nae, naiona flop hii msimu ujao kama tutasajiri, wachezaji wa kiingereza bwana, aahh!! Hawana dhamana. Ni aidha wazungurukwe na wachezaji bora au wacheze timu za midtable huko huko.. Ni wachache saana walioonyesha uwezo timu kubwa haswa haswa hawa viungo washambuliaji.
Sure, wachezaji wa kingereza majanga Mimi huwa namuamini Grealish tu
 
Kwa Aouar sijui kama tutampata maana inasemekana Arsenal wamekata mawasiliano huko na sasa tottenham wanataka kufanya swap deal.. Ngoja tusubiri tuone
Mchezaji aliyeringa vile haina haja ya kumfuata. Ndiyo maana hata Zaha Arsenal hua hawadeal naye pamoja na yeye kulazimisha kuja Arsenal
 
Maendeleo ya Timu yetu yamefanya wengi wetu kupunguza kuja kwenye uzi wetu.

Power is not permanent, huu ni muda wa kuisuka timu upya, haijalishi tutahitaji miaka 2 au 3 zaidi.

Hongereni kwa nyote mliotuwakilisha hapa bila kuchoka.

Chelsea fans naona mmejua kutamba na kutukeraa kwenye jukwaa letu baada ya kubahatisha UEFA, hongera kutuchangamsha.

Kumbukeni, tunarudi kwa kishindo 💪

We are Gunners forever 💪💪💪💪💪
 
Nenda na ww kabahatishe
Maendeleo ya Timu yetu yamefanya wengi wetu kupunguza kuja kwenye uzi wetu.

Power is not permanent, huu ni muda wa kuisuka timu upya, haijalishi tutahitaji miaka 2 au 3 zaidi.

Hongereni kwa nyote mliotuwakilisha hapa bila kuchoka.

Chelsea fans naona mmejua kutamba na kutukeraa kwenye jukwaa letu baada ya kubahatisha UEFA, hongera kutuchangamsha.

Kumbukeni, tunarudi kwa kishindo

We are Gunners forever
 
Back
Top Bottom