Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
This is our Arsenal, they sell Emmi Martinez for £20m and now fighting to buy Ramsdale for£30m
Binafsi naona Aouar ni bora kuliko maddison, unajua aouar ni sawa unazungumzia mchezaji kama Carzola au Nico pepe yaani wale super talented muda wowote wanaweza kurecover form.Ni kwa sababu mkataba unakaribia kuisha ila hata hivyo na goal contribution imeshuka. Anapitwa na Maddison
Inakatisha tamaa kwa kweli, it's like hatujui tulifanyaloThis is our Arsenal, they sell Emmi Martinez for £20m and now fighting to buy Ramsdale for£30m
Sasa mzee mtu mkataba unaelekea ukingoni. Na anasema ili asaini awe first eleven bodi ingefanyaje?This is our Arsenal, they sell Emmi Martinez for £20m and now fighting to buy Ramsdale for£30m
Sasa mzee mtu mkataba unaelekea ukingoni. Na anasema ili asaini awe first eleven bodi ingefanyaje?
Sure, Kwa form aliyokuwa nayo Emi hakutakiwa kuuzwa, yaani tulikuwa na maGK wanaompa ugumu kocha nani aanzeTuliwahi kubishana humu, kipindi process ya kumuuza inaendelea, my position ilikuwa, heri angeondoka Leno akabaki Martinez. Mlinishambulia sana, lakini sasa hivi mna majibu
Binafsi naona Aouar ni bora kuliko maddison, unajua aouar ni sawa unazungumzia mchezaji kama Carzola au Nico pepe yaani wale super talented muda wowote wanaweza kurecover form.
Hawa wachezaji wa statistics huwa siwaelewi, statistics zinaonesha Rob holding ndio CB bora kuliko wote hapo Arsenal last season, ajabu Ben white anakuja kuTake his chance.At least Tungempata Jack Grealish ingekuwa poa
Haya sawa.Tuliwahi kubishana humu, kipindi process ya kumuuza inaendelea, my position ilikuwa, heri angeondoka Leno akabaki Martinez. Mlinishambulia sana, lakini sasa hivi mna majibu
Don't worry Young man, Arsenal is here to stay 💪💪💪💪💪Nawaonea huruma sana nyie jamaa
Nilijua nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi, kumbe kwenye kufungwa magoli machache!Haya sawa.
Arsenal inashika nafasi ya tatu kwa timu zilizofungwa magoli machache Aston Villa inashika nafasi ya ngapi?
Nitafsirie kwa kiswahili, hamuchelewi kutukana nyieDon't worry Young man, Arsenal is here to stay![]()





Mkuu Kuna sababu nyingi za Maddison kusajiliwa Arsenal,Hapana nadhani hujamfuatilia Maddison, huwezi mlinganisha na Oauar. Nina hakika 80% Edu na Arteta wanakiona ninachokielezea hapa, 90% tutamchukua ni part exchange na AMN na £ za kutosha
Ukimtaja Dennis Bergkamp moyo unanipasuka.. Moja kati ya wachezaji nilitamani wawe vijana daima..Mchezaji wa kiungo ushambukizi (attacking midfielder) Emile Smith Rowe amesaini mkataba mrefu na timu yake ya Arsenal.
Smith Rowe msimu ujao atavaa jezi namba 10.
Wachezaji wa zamani ambao wamevaa jezi namba 10 ni Denis Bergkamp, Robin van Persie, Jack Wilshere na Mesut Ozil.
Bila shaka Emile ataitumia vema jezi hiyo.
Well done kijana.
COYGs!!

Wenye Martinez wanashika nafasi ya ngapi?Nilijua nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi, kumbe kwenye kufungwa magoli machache!
Sasa hapo mungekua na Martinez, bila shaka mungeshika nafasi ya kwanza.
Denis is true Legend.Ukimtaja Dennis Bergkamp moyo unanipasuka.. Moja kati ya wachezaji nilitamani wawe vijana daima..![]()
Mkuu kwa Martinez we kubali yupo vizuri, ame-play role kubwa argentina kubeba kombe la south AmericaWenye Martinez wanashika nafasi ya ngapi?
Yaani sijakataa kwamba ni mzuri lakini kusema Leno ni kinabo ndipo hapo ninapokataa.Mkuu kwa Martinez we kubali yupo vizuri, ame-play role kubwa argentina kubeba kombe la south America