Mkuu nisaidie kishangaa, nikisema washabiki wa Aseno hawana tofauti na wafuasi wa uvccm natukanwa, kuna tofsuti gani hapo???Maisha yanaenda kasi sana yaan mwez wa 8 mwaka jana kwenye hilihili jukwaa tuliambiwa Partey ndo anakuja kukatamzizi wa fitna leo napita hapa Partey yuleyule anaonekana c chochote c lolote??
Kwani kroenke aligoma kulipa mishahara ya ozil??Wakati una mlaumu Arteta,kumbuka Chelsea sio wenzako msimu umeanza wekampa Lampard pound mil 200,sisi Arteta tulimpa kiasi gani,zaidi ya kununua wachezaji wa mafungu (Sagulasagula).
Chelsea walimfukuza Lampard sababu alikuwa ana stahili kufukuzwa,pamoja na kupewa kila kitu ila yy alishindwa kudeliver,so tatizo sio Arteta tatizo ni huyo Kroenke na ubahili wake.Arsenal hata ukimfukuza Arteta bado matokeo yata kuwa ni yaleyale sababu usajili tunafanya kiubahili,mpe mtu hela hata akishindwa tuna sababu ya kumfukuza la sivyo tukiendelea hivi tutakuwa watu wa kufukuza makocha kila siku wakati tatizo wamiliki ni wabahili.
Unakusudia kumjibu nini hapo computerarsenal maana ameuliza swali jepesi kabisaKuna factors nyingi za timu kushinda. Most ni morali ya timu, sasa ukiiangalia Leicester na West Ham kwa misimu minne nyuma timu gani ina morali katika hizo timu tatu?
Na hata msimu huu klabu haina mentality ya ushindi na morali hairidhishi.
HAKA KAJAMAA KAKO WAPI mysterio ...Always posting shits
Huyu kocha wenu tunamuangalia tu.Γdegaard leo hakutakiwa kuanza mbele ya Martinelli
Nashauri jukwaa hili walibadili liwe hata la madalali wa nyumba maana hamna timu humu na mashabiki wake wanakwambia mwekezaji ni mchungu wkt Auba anavuta mpunga wa kutosha tu .....nawashauri waje anfield waone watu wachungu/wachumi wanafananajeMkuu nisaidie kishangaa, nikisema washabiki wa Aseno hawana tofauti na wafuasi wa uvccm natukanwa, kuna tofsuti gani hapo???
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ndugu,Huwezi fananisha Arsenal na Leicester au West Ham hazifanani,kwenye kila kitu sababu kiuchumi Arsenal ipo vizuri kuliko hizo timu so hao Leicester / Weat Ham wamesajili kutoka na uwezo wao pamoja na kufanya vizuri,ila hawana mwendelezo hao unaweza ukawaona wapo top 4 ila wakakaa misimu mingine mitano au zaidi usiwaone.
Kwa uchumi alikuwa nao Arsenal hatakiwi kuwa mtu wa kubahatisha kama West Ham au Leicester kama ikitokea basi bahati mbaya kama ilivyo kwa Liver au hata Man Utd .
Sisi tunatakiwa tu-spend kama ilivyo kwa Man City,Chelsea,Utd,Liver na Spurs sababu mapato ya club yetu ni makubwa yana ruhusu huwezi kutufananisha na Leicester au West Ham hatufanani.
Arteta mtampa lawama kwani hata akija mwengine kama tuta endelea na ubahili tutamfuza tu,wakati tatizo lipo kwa wamiliki.
Unataka mambo makubwa halafu hela unayo iweka ni ndogo wakati hela unayo,unategemea bahati kweli kwenye mpira kuna bahati ila % ni ndogo approximately = 0.
Ratiba ya leo ya mashabiki.
View attachment 1775754
Nawashangaa sana hawa jamaaLawama anabeba yeye nyingi sana mfano Last week dhidi ya Villareal alianza bila mshambuliaji utamlamu kroenke au Arteta?ok fine kwenye ishu ya red cards utamlaumu Kroenke au Arteta?tangia Wenger aondoke tumemsajili Pepe,Gabriel,Mari,Thomas,Tierney,Leno na wote hao wanachezea timu zao za Taifa sasa tunataka usajili gani?na nlikuuliza hilo swali sababu hao wachezaji nliowataja ni wana viwango bora sana toka huko walipotoka but baada ya kuja Arsenal nini kimefuatia?
Eti nini??? Kucheza timu ya taifa ya Uruguay au Germany haimaanishi kama una kiwango Bora???Kucheza timu ya taifa sio kwamba wana kiwango bora bali ndio machaguo walio nayo kwa mda huo na hawana jinsi timu ya taifa sio club.
Na hapa tumlaumu kroenke mkuu.Kocha anatumia formation ambayo tangu nianze kushabikia Arsenal haijawahi kutumiwa na yeye ndiye kaanza nayo leo siku ambayo anataka ushindi.
Say hello to 4 1 4 1
Ni kweli wale wan matatizo yao. Tunakubali, lakini sio sababu ya Sisi kuwa hivi.Halafu wale mbwa wa marekani ndio waseme hawauzi timu? Mashabiki watawatoa roho
Ina maana France alivyo chukua kombe la dunia ina maana wachezaji wote walikuwa bora including Giroud? Vip Ureno na Euro nayo wachezaji wote walikuwa bora?Eti nini??? Kucheza timu ya taifa ya Uruguay au Germany haimaanishi kama una kiwango Bora???
I am off...
Kuna hao wenye arseno yao hao πππππMASHABIKI WA ARSENANE WANAMUONA PARTEY KAMA POGBA, CEBALLOS KAMA BRUNO..NA HAPA NDIPO MNAPOFELI.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Aliekwambia alikudanganyeni mkuuππππMaisha yanaenda kasi sana yaan mwez wa 8 mwaka jana kwenye hilihili jukwaa tuliambiwa Partey ndo anakuja kukatamzizi wa fitna leo napita hapa Partey yuleyule anaonekana c chochote c lolote??
Hapo managed hapo ndio penyewe.Unai Emery has proved that Arsenal is owned and managed by a bunch of idiots, they sacked him and he eliminated them from Europa
Leno, Torreira, Partey, Auba, Tierney, Gabriel Magalhaes, Saka, Martinelli, Odergaad, Ozil, hawa ni baadhi ya wachezji ambao angekuwa nao Brenden Rodgers angekuwa anapigania kuchkua EPL tena asubuhi na mapema.Ina maana France alivyo chukua kombe la dunia ina maana wachezaji wote walikuwa bora including Giroud? Vip Ureno na Euro nayo wachezaji wote walikuwa bora?
Tuzungumzie kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na si wengine kujificha kwenye uwezo wa wachezaji wengine halafu tuseme bora.