Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mkishinda leo tunakutana ndani ya old trafford katikati ya march, tatizo tunha tough fixture hizi wiki mbili zijazo.


...It will be a pleasure bro, am looking forward to that!
 
FA CUP QUARTER-FINAL DRAW
Stoke City v West Ham/Burnley
Man City/Aston Villa v Everton/Reading
Birmingham City v Fulham/Bolton
[SIZE="3"[I][B][SIZE=4]]Man Utd[/SIZE][/B] v[COLOR="red"] Leyton Orient/Arsenal[/COLOR][/SIZE][/I]
Ties to be played 12/13 March.

This means kama tutashinda game ya leo then hii BIG game itachezwa baada ya CL Barca 2nd leg........ may GOD help us get away with this TIGHT FIXTURE...........................Its my Hopes that we'll...............

Asante...:wink2: tuta wa-:spider::spider::spider:
 
mkishinda leo tunakutana ndani ya old trafford katikati ya march, tatizo tunha tough fixture hizi wiki mbili zijazo.

Niliombea tukutane awa watu kule kwenye thread yetu, ili tuwakate ngebe...nataman mu-waote na Barca ili CL pia tukutane.
Kiboko yenu Park atakuwa ashapona. Msijali. Hahahaha!
 
Niliombea tukutane na nyie kule kwenye thread yetu, ili tuwakate ngebe...nataman mu-waote na Barca ili CL pia tukutane.
Kiboko yenu Park atakuwa ashapona. Msijali. Hahahaha!

Mkuu mbona unamjibu mshabiki mwenzako kama mko timu mbili tofauti lol.
 
Wenger nadhani angemtumia tu Arshavin kuwa feed ben na chamakh manake bila playmaker tunapata shida sana pale mbele kufanya mashambulizi.Arshavin alikuwa mzuri tu kwenye kutoa mapande.
 
...It will be a pleasure bro, am looking forward to that!
Heheh poa poa mkuu si unajua siku zote unakaribishwa old trafford... Ila for now mie nataka tushinde mechi zetu za epl zinazokuja ndani ya hizi wiki mbili ata kama we have to sacrifice fa cup.. Number 19 ni tamu zaidi lol.
 
No connection kabisa, nachukia sana mechi kama hizi Wenger kulazimika kuwatumia Nasri na Fabregas kushinda badala ua kupumzika.
 
Wenger hana jinsi inabidi hawaite nasri na fabregas kutafuta ushindi. Huu mchanganyiko wake wa pili umekosa mpishi kabisa.


Nategemea hatoitumia hii list kwenye Carling Cup final .
 
Back
Top Bottom