Wenger hana jinsi inabidi hawaite nasri na fabregas kutafuta ushindi. Huu mchanganyiko wake wa pili umekosa mpishi kabisa.
Nategemea hatoitumia hii list kwenye Carling Cup final .
Nafikiri umeshapata jibu katika hii half ya kwanza kama wameweza au hawajaweza..................
The thing is wakipata Injury TUMEKWISHA......kuna very tight fixture coming up...................
The thing is wakipata Injury TUMEKWISHA......kuna very tight fixture coming up...................
mkuu sometimes ni vigumu kuwapanga wachezaji ambao hawachezi pamoja kila wiki na kutegemea wataconnect vizuri. Mambo hayo ndio yaliyotukumba jana.first half imeboa kinoma.
mkuu sometimes ni vigumu kuwapanga wachezaji ambao hawachezi pamoja kila wiki na kutegemea wataconnect vizuri. Mambo hayo ndio yaliyotukumba jana.
Hongereni!
Safi Masa uwe unatembelea majukwaa mengien kujifariji manake darajani ni mwaka wa shetani
Hongereni!
Kuna upepo mbaya sana kule! Nina offer ya CL final Wembley Chelsea isipofanikiwa nitaiuza eBay!