Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

khee ekhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mbaazi akikosa maua bana Wacha WIVU! Barca wameharibu wiki yako ulikuwa na matarajio, chacha vipi kesho? Bundi bado yupo darajani?


Try to be objective and rational sometimes, I don't understang what you're trying to say!!
 
khee ekhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mbaazi akikosa maua bana Wacha WIVU! Barca wameharibu wiki yako ulikuwa na matarajio, chacha vipi kesho? Bundi bado yupo darajani?


Huyo bundi kapotea njia tu atarudi home muda si mrefu, makazi yake ya kudumu kwa miaka 6 sasa ni Emirates Library (si unajua bundi anapenda utulivu ndio maana anatembea usiku wakati viumbe wengine wanasinzia). Kutokana kujifungia ndani kwa muda mrefu wa miaka 6, bundi huyo akiwa matembezini kwa nia ya kwenda kutembelea nyumba yake ya zamani hapo jirani Highbury alijikuta akipotea na kuchukua Piccadilly line westbound na kuishia Earl's Court ambako amepewa hifadhi ya muda kabla ya kurudishwa kwao Emirates. Sababu kubwa mpaka sasa kwanini bundi huyo hajarudishwa nyumbani ni kugoma kwake kurudi kwa kuhofia kuacha maisha ya kifahari anayopewa na wasamaria wema wa West London kulinganisha na ya yale ya mlo mmoja kwa siku alikuwa akiwa katika Makataba ya Imarati....Bundi huyo alisikika akisema "Nobody would leave this lavish life style of West London and go to "enjoy" a single meal per day at Emirates, life is very stressful over there". Mpaka tunaenda mitamboni juhudi zilikuwa zikifanywa kumrudisha nyumbani bundi huyo.

Njooni mmchukue ndugu yenu, mmemWacha anazurura hovyo kama hana kwao!!
 
Guardiola toka achukue Barca,hana rekodi ya kushinda mechi ugenini ktk hatua za mtoano gonga/click na soma hapa chini
Barcelona Haven't Won An Away CL Knockout Game Under Pep Guardiola - Here Is The List - Goal.com
ila hapo nou camp washabiki wa arsenal wenye roho nyepesi kazi mnayo na machela inabidi ziwe karibu nanyi maana jamaa wakiwa wanasaka ushindi ni balaa.


Hapo kwenye machela umeongea kitu cha msingi sana, hawa jamaa wana historia ya kujiOmondi ngoja tuone kama wataWacha huo mchezo mwaka huu.
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeee nasikia jamaa chacha wanatapatapa tu ...khe khekhe khe blood money will never give them glory khe khe kheeeeee walisema last week chacha wanaongelea mwezi ujao khe khe kheeeeeeeeeeee imekula kwao.

Usiku hawalali wanamuwaza Wacha khe khe kheeeeeeeeeee .... ..... ..... rafiki yangu moja tulipokuwa shule aliniambia wahehe wanamsemo huu; 'Lwiga lwiga kihonga mnyoo mgata'


Akasema maana yake ni kwamba usiige ige tu mambo hiyo inaashiria your a s s h o l e ni mvivu wa kufikiria. ... ..... Bundi will always be associated with Chelsick .... ... ...
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeee nasikia jamaa chacha wanatapatapa tu ...khe khekhe khe blood money will never give them glory khe khe kheeeeee walisema last week chacha wanaongelea mwezi ujao khe khe kheeeeeeeeeeee imekula kwao.

Usiku hawalali wanamuwaza Wacha khe khe kheeeeeeeeeee .... ..... ..... rafiki yangu moja tulipokuwa shule aliniambia wahehe wanamsemo huu; 'Lwiga lwiga kihonga mnyoo mgata'


Akasema maana yake ni kwamba usiige ige tu mambo hiyo inaashiria your a s s h o l e ni mvivu wa kufikiria. ... ..... Bundi will always be associated with Chelsick .... ... ...

Baelezee hao Wacha....habajui vile si tunakimbiza...banadai ati bundi anarudi muda mufupi ujao bakati bundi tumebatupia majirani zetu ba pale pa daraja....juu ya nini?
 
Huyo bundi kapotea njia tu atarudi home muda si mrefu, makazi yake ya kudumu kwa miaka 6 sasa ni Emirates Library (si unajua bundi anapenda utulivu ndio maana anatembea usiku wakati viumbe wengine wanasinzia). Kutokana kujifungia ndani kwa muda mrefu wa miaka 6, bundi huyo akiwa matembezini kwa nia ya kwenda kutembelea nyumba yake ya zamani hapo jirani Highbury alijikuta akipotea na kuchukua Piccadilly line westbound na kuishia Earl's Court ambako amepewa hifadhi ya muda kabla ya kurudishwa kwao Emirates. Sababu kubwa mpaka sasa kwanini bundi huyo hajarudishwa nyumbani ni kugoma kwake kurudi kwa kuhofia kuacha maisha ya kifahari anayopewa na wasamaria wema wa West London kulinganisha na ya yale ya mlo mmoja kwa siku alikuwa akiwa katika Makataba ya Imarati....Bundi huyo alisikika akisema "Nobody would leave this lavish life style of West London and go to "enjoy" a single meal per day at Emirates, life is very stressful over there". Mpaka tunaenda mitamboni juhudi zilikuwa zikifanywa kumrudisha nyumbani bundi huyo.

Njooni mmchukue ndugu yenu, mmemWacha anazurura hovyo kama hana kwao!!

Kiukweli ni kwamba yule bundi aliyekuwa darajani for 50 years na kuhamia Ashburton Grove/Imarati for 6 years kaamua kurudi nyumbani alikozaliwa na kukulia kwa miaka 50,ndo maana nyumba ya jirani(darajani) hakukauki milio ya bundi,tayari karudi anako stahili kuishi,hatujui ataweka kambi hapo kwa muda gani kwani nyumbani ni nyumbani....ni hadithi ya mwana mpotevu hii......lols
 
Kuna infringement kwenye posts chijui ni Mungiki brother huyu ama vipi anyway ndio Wivu wenyewe unakomaa ngoja tuone extra minutes kwenye daraja lililovunjika na bundi bado yuko kwenye mgomo baridi.
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeee nasikia jamaa chacha wanatapatapa tu ...khe khekhe khe blood money will never give them glory khe khe kheeeeee walisema last week chacha wanaongelea mwezi ujao khe khe kheeeeeeeeeeee imekula kwao.

Usiku hawalali wanamuwaza Wacha khe khe kheeeeeeeeeee .... ..... ..... rafiki yangu moja tulipokuwa shule aliniambia wahehe wanamsemo huu; 'Lwiga lwiga kihonga mnyoo mgata'


Akasema maana yake ni kwamba usiige ige tu mambo hiyo inaashiria your a s s h o l e ni mvivu wa kufikiria. ... ..... Bundi will always be associated with Chelsick .... ... ...


Aaahh! Everybody knows farty fat Arses are Assholes!
 
Kiukweli ni kwamba yule bundi aliyekuwa darajani for 50 years na kuhamia Ashburton Grove/Imarati for 6 years kaamua kurudi nyumbani alikozaliwa na kukulia kwa miaka 50,ndo maana nyumba ya jirani(darajani) hakukauki milio ya bundi,tayari karudi anako stahili kuishi,hatujui ataweka kambi hapo kwa muda gani kwani nyumbani ni nyumbani....ni hadithi ya mwana mpotevu hii......lols

....aha ha ha hahahaha hhaaaa hhaaa! ebana weeee...mtotmto ni mtoto kwa mama hakui, chelsea Bundi mumlee huyo!

Aaahh! Everybody knows farty fat Arses are Assholes![/SIZE]

...e bana weeee, maneno ya mkosaji hayo kaka,...
Muungwana ni vitendo.
 
...e bana weeee, maneno ya mkosaji hayo kaka,...
Muungwana ni vitendo.


Mh. Mbu,
Mimi nimecopy tu maneno ya "muungwana" Wacha, angalia hapo chini:

Khe khe kheeeeeeeeeeeeee nasikia jamaa chacha wanatapatapa tu ...khe khekhe khe blood money will never give them glory khe khe kheeeeee walisema last week chacha wanaongelea mwezi ujao khe khe kheeeeeeeeeeee imekula kwao.

Usiku hawalali wanamuwaza Wacha khe khe kheeeeeeeeeee .... ..... ..... rafiki yangu moja tulipokuwa shule aliniambia wahehe wanamsemo huu; 'Lwiga lwiga kihonga mnyoo mgata'


Akasema maana yake ni kwamba usiige ige tu mambo hiyo inaashiria your a s s h o l e ni mvivu wa kufikiria. ... ..... Bundi will always be associated with Chelsick .... ... ...
 
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Wanga wakachome tunguli zao. Chama kubwa hili na kwa budget ndogo tu.

Barca lazima wawaheshimu,lol...vijana wa AW mmechachamaa!! nice job ilikuwa, sasa marudiano mjitahidi!!
 
Nzuri jirani, mambo si mambo darajani lakini maisha yasonga mbele. Ahsante sana, hali yetu sio nzuri sana.

Its so good that u r now admitting that things are proper at the bridge.......Dont lose ur smile....we still need it on Man utd games....Hope u'll do us a favor....Wont U?????????
 
Leyton Orient: Jones, Whing, Chorley, Forbes, Daniels, Smith, Dawson, Crowe, Cox, McGleish, Revell. Subs: Butcher, Omozusi, Tehoue, Cestor, Carroll, M'Poku, Kane.
Arsenal: Almunia, Sagna, Squillaci, Miquel, Gibbs, Denilson, Song, Rosicky, Bendtner, Chamakh, Arshavin. Subs: Szczesny, Fabregas, Koscielny, Nasri, Wilshere, Clichy, Eboue.
Referee: Kevin Friend (Leicestershire)


Breakin News on top of that....Kama tukishinda leo tutaplay na Man Utd......
 
FA CUP QUARTER-FINAL DRAW
Stoke City v West Ham/Burnley
Man City/Aston Villa v Everton/Reading
Birmingham City v Fulham/Bolton
Man Utd v Leyton Orient/Arsenal
Ties to be played 12/13 March.

This means kama tutashinda game ya leo then hii BIG game itachezwa baada ya CL Barca 2nd leg........ may GOD help us get away with this TIGHT FIXTURE...........................Its my Hopes that we'll...............
 
Will Ignas Miquel follow FABREGAS steps???? The young lad is partnering Squillaci at the heart of Arsenal defense.....Dogo ana miaka 18 na alizaliwa Sep 28, 1992, Barcelona Spain. Hope this is his Ignition point towards his prosperous career at ARSENAL.....All the BEST KID....
 
mkishinda leo tunakutana ndani ya old trafford katikati ya march, tatizo tunha tough fixture hizi wiki mbili zijazo.
 
Back
Top Bottom