Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yah mkuu manake hawa madogo lazima kuwachapa zaidi ya moja wasijesawazisha dakika ya mwisho!

kwa arsenal wanaweza sawazisha na kuongeza lingine within seconds kabla ya mechi kwisha.....so tukiongoza kwa difference kubwa ya goals ni muhimu.....
 
Yah mkuu manake hawa madogo lazima kuwachapa zaidi ya moja wasijesawazisha dakika ya mwisho!


Si unakumbuka ile ya jana maana, miye nilidhani Chelsea ndiyo wameshashinda lakini kibao kikageuka na kwenye miguu kumi na mbili ya mtu mzima mwenye akili timamu chochote kile kinaweza kutokea.
 
Si unakumbuka ile ya jana maana, miye nilidhani Chelsea ndiyo wameshashinda lakini kibao kikageuka na kwenye miguu kumi na mbili ya mtu mzima mwenye akili timamu chochote kile kinaweza kutokea.

Usirudie tena kusema ivo mi manake hawa jamaa wakiamua kucheza hivyo wanaweza kweli aisee
 
Sina imani jamaa watatuchapa!

Kwa jinsi mnavyocheza sasa hivi hilo linawezekana kabisa inaelekea kama wacheza wameshakata tamaa, lakini nadhani watataka kuonyesha pride kwamba wasidharauliwe kiasi hicho pamoja na matokeo ya siku za karibuni. Kama watacheza kama timu na kujituma basi itakuwa mechi nzuri sana ya kuvuta nikuvute tangu mwanzo hadi mwisho.
 
Hawa watoto tukizubaa wanatuchapa....isije ikawa kama yaliyotokea jana darajani...
 
Sina imani jamaa watatuchapa!

Mwenzenu ashajikatia tamaa, ana stahili hivo.
Ona sasa Wapambe....


Hata mimi ninafeeling kubwa kuwa mnawapiga Man U ila msimchezeshe joka la kibisa Torres

Huyu kaanza......

Kwa jinsi mnavyocheza sasa hivi hilo linawezekana kabisa inaelekea kama wacheza wameshakata tamaa, lakini nadhani watataka kuonyesha pride kwamba wasidharauliwe kiasi hicho pamoja na matokeo ya siku za karibuni. Kama watacheza kama timu na kujituma basi itakuwa mechi nzuri sana ya kuvuta nikuvute tangu mwanzo hadi mwisho.

Huyu hapo juu Kamalizia....
Akiangukia pua pia, mje hapa kumpepea, sio stori za BUNDI zitawale. Sawa?
 
Back
Top Bottom