mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
Kwa neema za mwenyezimungu tumeshinda! Furaha ambayo ninayohapa mungu ndiye anajua.
Hakika tulistahili ushingi na leo mungu alikuwa upande wetu. Kama ni kutufunga na kututoa basi
ni bora wakatutolee huko kwao Spain lakini si our home london. Shame on u Barcelona.
Jamani hakuna vitu ninavyovichukia hapa duniani kama Manchester united,Barcelona, na CCM.
Hakika tulistahili ushingi na leo mungu alikuwa upande wetu. Kama ni kutufunga na kututoa basi
ni bora wakatutolee huko kwao Spain lakini si our home london. Shame on u Barcelona.
Jamani hakuna vitu ninavyovichukia hapa duniani kama Manchester united,Barcelona, na CCM.