Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii game sare hii!
NAONA MPAMBANO WENU WA KUGOMBEA NAFASI YA 10 UNAZIDI KUWA MGUMU...
Screenshot_20210221-212409_All%20Goals.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kiasi Fulani
Kila mtu alifikiri tutaoga migoli. Haijawa hivyo, tulitarajiwa kupaki basi haijawa hivyo.

Defense ya Arsenal kwenye Fifa 20 na 21 iko kwenye 78. Next year natarajia overall iongezeke zaidi ya hapa.

Tumecheza vizuri.
 
Screenshot_20210221-132327_1613941278710.jpg
Screenshot_20210221-132322_1613941313647.jpg
Screenshot_20210221-132355_1613941339172.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210221-132322_1613941313647.jpg
    Screenshot_20210221-132322_1613941313647.jpg
    49.7 KB · Views: 11
  • Screenshot_20210221-132322_1613941313647.jpg
    Screenshot_20210221-132322_1613941313647.jpg
    49.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20210221-132355_1613941339172.jpg
    Screenshot_20210221-132355_1613941339172.jpg
    46.3 KB · Views: 10
Hello Guys.

Nilivyokuwa mapumzikoni nilipitia nyuzi za 'warembo wakali' na 'kimasihara' na zilisaidia kupunguza stress za Arsenal yetu. Nimekuta kuna wadau wa humu kule pia na ni wachangiaji wazuri tu kule. Ningewashauri wengine humu wakapitie kule huenda watapunguza stress kidogo.

Tuendelee na club yetu maana potential ipo. Kazi kwao kuimarika na kazi kwetu kushabikia na pale tunapokosoa tusisahau ubinadam.
Umeongea point kubwa
 
Hello Guys.

Nilivyokuwa mapumzikoni nilipitia nyuzi za 'warembo wakali' na 'kimasihara' na zilisaidia kupunguza stress za Arsenal yetu. Nimekuta kuna wadau wa humu kule pia na ni wachangiaji wazuri tu kule. Ningewashauri wengine humu wakapitie kule huenda watapunguza stress kidogo.

Tuendelee na club yetu maana potential ipo. Kazi kwao kuimarika na kazi kwetu kushabikia na pale tunapokosoa tusisahau ubinadam.
Sawa mkuu hahahahaha
 
Licha ya kupambana but sadly we lost the match. Tumepoteza dhidi ya timu bora ya City.

Bado tunajenga timu, hizi ups and down hazikwepeki.
Believe me, tunakwenda pazuri na kurejesha heshima yetu iliyopotea.

COYG's 💪💪💪💪💪💪💪💪💪
 
Back
Top Bottom