Kiukweli tumecheza vizuri jana!.. Tuendelee kumwamini mwalimuLicha ya kupambana but sadly we lost the match. Tumepoteza dhidi ya timu bora ya City.
Bado tunajenga timu, hizi ups and down hazikwepeki.
Believe me, tunakwenda pazuri na kurejesha heshima yetu iliyopotea.
COYG's![]()
