Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Ushindi huu utawafufua walio kufa.
Nilitegemea sasa hivi uwe tayari umeshalala.. bado unazurura tu!
Ushindi huu utawafufua walio kufa.
Huyo jamaa anakuwaga na matatizo mengi sana.tafadhali hekima na busara zikuongoze mkuu
Nilitegemea sasa hivi uwe tayari umeshalala.. bado unazurura tu!
Leo ni siku kuu huna habari
Kuna kichaka nime jificha na mtoto wa watu tunaongopeana tuna pendana huku kila mmoja akiwa na lengo lake.
Yeye anawaza pesa yangu, na mimi nawaza papuchi yake.
Bc mtakuwa mmesahau shida zenu zote, mana mkifungwa mnalaumu wachezaji flani lkn mkishinda mnawasifia hao hao
Nadhani wewe utakua shabiki wa Cheltako,nyie akili huwa mmeziacha nyuma hukoBc mtakuwa mmesahau shida zenu zote, mana mkifungwa mnalaumu wachezaji flani lkn mkishinda mnawasifia hao hao
Nyumbu tukutane Europa nikupige cha mkwenziKuna soccer gani hapo?
Hiyo tunaita ngekewa.
Mpira wa baiskeliLeo Bamford lazima aondoke na mpira wake
Mlipokuwa points Sawa na Chelsea mlikuja kutupigia kelele kama vile mmeshinda kombe hy inaonyesha nyie bado sanaNadhani wewe utakua shabiki wa Cheltako,nyie akili huwa mmeziacha nyuma huko
Yaani unafananisha Arsenal na kitimu cha 2010!! masikhara hayoMlipokuwa points Sawa na Chelsea mlikuja kutupigia kelele kama vile mmeshinda kombe hy inaonyesha nyie bado sana
Pierre anamiliki album yangu!