WWWWell done Gunnnnerz
Inshallah tumepewa penati............................hahaaaaaaaaaaaaaaa 1-1
hongereni watani ila jichekini sana mid fielders wenu sio......cheers
Midfilder gani unaosema mkuu au hujatazama mpira
cheki possession kati mlipwaya sana....you guys have to kusajili people worthy their names mtafika mbali!.....big up sana kwenu...
Huyu mganga wa Arsenal mzuri kweli kweli hehehe ball possession 67% to Arsenal's 33% ngoma bado 1 - 0.
Leo halali mtu,yaaaaaaani,Oh God,Mungu huwainua wanyonge......tulisemwa sana jamani,ooooooh God,nikushukuruje Mungu......
Furaha ya leo,sijui itafutwa na nini!!!! VIVA ARSENAL,am proud of you and will never regret supporting you hata msiposhinda vikombe kwa miaka 20.....................am happy........MUREFU,QUEST,KWELI,ARSENE WENGER and all other arsenal fans.........CHEERS!!!!
kama ulivyosema halali m2 wame2sakama sana yan huwez amin niliweka BID ikijua 2nashnda ila walionikatisha tamaa ndo nimewala pesa yao ha,ha,ha,ha,haaa yan hk kibaka ndo kilikuwa kinaninyma nisiongee kisa kamfunga m2 tano leo mm nimemfunga 2 na kwake nitamfunga 4 yan nimwendo huo
Khe khe kheeeeeeeeeeeeee ngoja nivute kiti kwanza ..... ........ ..... niwasome wanoko khe khe kheeeeeee ni halftime hivi sasa .... ..
lower your expectations
....karibu karibu bro,....'meerkats' wanoko walijaa humu leo aisee, duuuuhhhhh!
I didnt know 'tunaombewa gundu!' kama tulivyokuwa tunasakamwa zile dakika 60 za mwanzo wa mchezo.
Peasant sikumuona, lakini 'Mchungaji' alikuwa anapiga vuvuzela humu. Upepo ulipobadilika mbio naye kakimbia na Bundi wake...
Haya bana, mimi ngoja niweke mikoba pembeni, uwanja ni wako sasa.