Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ya kumtimua Arteta siyo. Niliwauliza swali hapa hamjanijibu watani zangu. Endapo mtaweka kocha mpya akasema kwenye squad yenu ya 23+ abakiziwe wachezaji 8 tu, mko tayari kumpa kikosi kipya?

Pep aliuza wachezaji 20 ndani ya misimu miwili kabaki na wanne tu. Klopp angalia wachezaji aliowakuta ni wangapi. Angalia anachopewa Lampard. Angalia anachofanya Mourinho. Wote hao wanataka vikosi vyao.

Nyinyi mnaweza fanya hizo kitu hata ndani ya misimu mitatu?
Mh we jamaa subiri uone
 
Spurs are specialist in what , do u remember the last time ur time won a trophy.
Spurs are specialists in planning.

Miaka kadhaa iliyopita ENIC na Levy walitake over Spurs kwa £27m. Taratibu wakaanza kuimprove kikosi kwa kukuza z wachezaji wachanga na kuwauza kwa bei kubwa; Bale, Modric, Carrick, Barbetov, etc

Mauzo yakawa reinvested kwa wachezaji wengine wazuri akina Kane, Son, Dier, etc na mkakati ukawa kutokuwauza ili kupisha uwekezaji kwenye miundombinu ya msingi (kiwanja bora zaidi cha michezo Ulaya kwa sasa).

Project ya miundombinu ilipo-almost kamilika sasa tumegeukia uwanjani. Akaajiriwa kocha anayeendana na kinachotakiwa sasa (vikombe). Sasa hivi sisi ndiyo washindani wakuu wa ubingwa: Ni suala la Liva vs Spurs msimu huu.
 
Mapema mwanzo wa msimu nilisema #ArtetaOut nikaulizwa unahitaji kocha yupi?

Jana baada ya masaa mawili after Granit red card nilichat naye na alisema hamuitaji Arteta maana hana equality baina ya wachezaji.

Arteta alimuacha Özil mwenye watu sita nyuma yake.

Bado mnategemea kupata matokeo chini ya Arteta na genge lake?
 
Mzee umekula Maharage ya wapi?

1 ziyech = 8 Willan + 25 pepe
1 Werner = 40 Lacazette
1 Kante = 10 Partey + 20 Xhaka
1 James = 20 Hector
1 Kovacic = 100 Mo
50 Abraham = 1 Auba
1 Thiago = 20 Luiz + 150 Mustafi
Sawa chief, hongera kwa kuwa na kikosi bora
 
Siku ile tunakupiga FA ile ilikua Arsenal ya kuungwa ungwa kwahiyo tulia hapohapo uone utakachojipatia
Sasa kwani mi nilikua mzima? , Hakuna asiyejua ila mechi mlikamia ili mpate nafasi UL. Yan we unifunge na Chelsea hii ndio maana nasema ni ndoto za alinacha
 
insta_2463932440861083630.jpeg
insta_2463932440852671310.jpeg
 
Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners
Mods piga ban hii raia..

Arsenal ana kikosi kizuri kushinda United?..
 
Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners
kuna watu mna roho ngum dunian yan we Burnley akufunge uje ujifananishe kikos chako na chelsea akat ungepaswa useme una kikos kizur kuliko Sheffield kwasababu yuko chin yako
 
Hatuna timu, narudia tena hakuna timu, whether ni kocha au wachezaji Ila timu hakuna. Drastic measures are needed, otherwise we're relegated!
 
Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners
Aiseeeeee
 
Baada ya kufungwa na Burnley tena Emirates kwa Burnley ambaye hakuwah kushinda hapo zaidi ya miaka 40 kwa sasa Arsenal inahitaji kocha mpya(narudia kocha mpya)tena angepatikana leo ,sioni kama J5 tutashinda hilo silioni kabisa timu imeshaanguka na jahazi linazama style ya uchezaji umeshajulikana kocha hana mbinu mpya hana zaidi ya kupiga cross hana cha kuoffer au plan B hana sasa unategemea kutakuwa na jipya na ukiangalia body language za wachezaji unaona wamekata tamaa

Kwa sasa tunapigania KUTOSHUKA DARAJA kuliko kwenda TOP 4 ambayo nafasi ishapotea hata mwaka haujaisha huo ndo ukweli kwa jinsi tunavyofungwa mfululizo hatuna utofauti na Sheffield United, West Bromwich au Fulham na Brighton tena tushukuru Mungu hao nao wanafungwa kama sisi wangeshinda mechi kadhaa tungekuwa wa 18 kabisa
Arsenal wanamlaumu Ole kwa kuvurunda kwa timu yao
 
kuna watu mna roho ngum dunian yan we Burnley akufunge uje ujifananishe kikos chako na chelsea akat ungepaswa useme una kikos kizur kuliko Sheffield kwasababu yuko chin yako
Kikosi cha Arsenal ni kizuri Mkuu, kuna mapungufu kidogo Sana ambayo yanalekebishika
 
Back
Top Bottom