EZZ CHEZZ
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,230
- 1,356
Washika manatiMzee mwenzangu tuendelee kuwashangilia Wananchi tu, labda tutafalijika.
Ila kwa hawa washika Manati watakupa pressure tu.




Washika manatiMzee mwenzangu tuendelee kuwashangilia Wananchi tu, labda tutafalijika.
Ila kwa hawa washika Manati watakupa pressure tu.




Level ni namna ambavyo kikosi cha timu kinaweza pata matokeo yanayotakiwa na si quality ya mchezaji mmoja mmoja. Quality ya wachezaji bila ambition/plan sahihi ni sawa na kundi tu la watu waliovaa sare. Level wise Chelsea wamewazidi tena sana tu.Fanya analysis ya kikosi chetu mchezaji mmoja mmoja dhidi ya kikosi chenu cha Chelsea kwa mchezaji mmoja mmoja, utaona namna ambavyo tulivyowazidi.
Sisi sio level yenu Chief
Hii post kila mwana Arsenane anapaswa kuiona. Pasipo mipango sahihi timu yoyote inaweza anguka.Mkuu hata New Castle ilikuwa timu kubwa na ilishuka daraja. Msipochukua hatua madhubuti mtashuka Asenane nyie.![]()
Of course uvumilivu ni muhimu zaidi kipindi hiki.Aisee, mkuu una moyo sana. Safi sana ila bahati mbaya ni kuwa hakuna matokeo mazuri bila proper planning. Timu yenu iliingia kwenye project na Arteta kichwa kichwa bila kujipanga vizuri.
Inabidi mkubali kurudi nyuma alipoishia mzee Wenger ndiyo muanze planning. Vinginevyo kwa hizo project za ki-arteta arteta au ki-ole ole hamtoboi nawaambia.
You need some serious planning behind closed doors. Mbona inawezekana. Kwa nini msijifunze kwa wenzenu Liverpool wamefanyaje project yao. Chelsea pia wana project nzuri na unaweza ona kikosi chao kitakuwa tishio kiasi gani misimu miwili ijayo.
Sijataja Spurs kwa kuwa mtanimind bure![]()
Mkuu, kipindi naanza kushabikia soccer timu zilizo kua pinzani kwangu ni Arsenal & Liverpool.Unapeeenda mwenyewe
And u need to remember this quote from Wenger for the rest of ur miserable lifeHii post kila mwana Arsenane anapaswa kuiona. Pasipo mipango sahihi timu yoyote inaweza anguka.
Sasa mipango si ndiyo hii inaanzaHii post kila mwana Arsenane anapaswa kuiona. Pasipo mipango sahihi timu yoyote inaweza anguka.
Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.
Forever Gunners![]()



Sawa Mkuu, tusubiri ligi iishe hapo May, 2021 tuone mavuno ya kila mmojaLevel ni namna ambavyo kikosi cha timu kinaweza pata matokeo yanayotakiwa na si quality ya mchezaji mmoja mmoja. Quality ya wachezaji bila ambition/plan sahihi ni sawa na kundi tu la watu waliovaa sare. Level wise Chelsea wamewazidi tena sana tu.
Mkuu kwani tangu tumeshinda last EPL trophy imepita miaka 50?










Fanya analysis ya kikosi chetu mchezaji mmoja mmoja dhidi ya kikosi chenu cha Chelsea kwa mchezaji mmoja mmoja, utaona namna ambavyo tulivyowazidi.
Sisi sio level yenu Chief
Kupata hiki kichekesho nibonyeze ngapiFanya analysis ya kikosi chetu mchezaji mmoja mmoja dhidi ya kikosi chenu cha Chelsea kwa mchezaji mmoja mmoja, utaona namna ambavyo tulivyowazidi.
Sisi sio level yenu Chief




Jowzey: Wenger is a specialist in failure.And u need to remember this quote from Wenger for the rest of ur miserable life
"Have Tottenham closed the gap on Arsenal?
Last time I checked they were still 4 miles and 11 titles away" .
Sawa Mkuu, let's meet at the top mapema mwakaniTypical Arsenal fan
Kuamini Willian ni bora kuliko Ziyech, kuamini Bellerin ni bora kuliko James, kuamini Xhaka ni bora kuliko Kante, kuamini Luis ni bora kuliko Thiago![]()
Sawa Mkuu, let's meet at the top mapema mwakani
Utanishtua mzeee,arsenal kichomi tuKwa yeyote anayefuatilia au anapenda kujua kuhusu boxing, serial killers, mass murderes na ishu kama hizo ajiandae.
Naweka nguvu zangu huko kwa sasa.
Nikishindwa weka picha kama zamani ilivyokua inawezekana then nitafanya deals nyingine.
Ya kumtimua Arteta siyo. Niliwauliza swali hapa hamjanijibu watani zangu. Endapo mtaweka kocha mpya akasema kwenye squad yenu ya 23+ abakiziwe wachezaji 8 tu, mko tayari kumpa kikosi kipya?Sasa mipango si ndiyo hii inaanza