ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,420
- 118,938
Hudhani kama kocha ni average? Kwa nini Wenger aliweza?Mimi sioni kama kikosi ni kibaya. Shida morali
Hudhani kama kocha ni average? Kwa nini Wenger aliweza?Mimi sioni kama kikosi ni kibaya. Shida morali
Arteta hana rekodi bado ya kumuita average au genius as hii ndiyo timu yake ya kwanza.Hudhani kama kocha ni average? Kwa nini Wenger aliweza?
Arteta hana rekodi bado ya kumuita average au genius as hii ndiyo timu yake ya kwanza.
Lakini unaionaje City? Ina wachezaji wake muhimu na maingizo mapya lakini wanacheza makida makida.
Wenger aliitreat hii timu kama familia wachezaji walimhesabia kama baba yao alifanya mchezaji ajione ana bahati kuchezea Arsenal na siyo Arsenal ina bahati kua na huyo mchezaji.
Hicho ndicho alifanya Ranieri mpaka Leicester inachukua ligi. Wanatoka kuipiga Liva Ranieri anawapeleka nyumbani kwake wanakaa kwenye swimming pool huku mke wa Ranieri anaandaa chakula.
Morali ilikua juu.
Kwangu Leicester ni timu ambayo kuanguka kwake kunakuja wanategemea ari ya timu kuliko financial investment. Mmiliki wa Leeds kama ataendelea kuspend kama dirisha lililopita ataipiku Leicester.Tukio la Leicester City kuchukua ubingwa ni "once in a genearation", kutoka odd ya 1:5,000 na akachukua ubingwa, ni miujiza.
Kabla ya Chelsea kununuliwa, Wenger alikuwa ndiye challenger wa Man Utd kwenye ubingwa, baada ya hapo, tajiri wa Chelsea akamleta Mou na kufanya sajili za kutosha, Chelsea ikamtoa Arsenal kwenye nafasi ya kumchallenge Man United (akabaki kwenye namba 3), then wakaja City, kwa hiyo Arsenal akasogea kwenye namba 4, wakati huo huo Liverpool na Tottenham nao wakaamka (hii ni miaka ya mwishoni Wenger hakuwa na uhakika wa top 4). Leicester naye katoka alikotoka anakaa juu ya Arsenal.
Wenger akaondoka, alipokuja Unai, aliahidiwa kupewa pesa kama timu itaingia top 4 (kama rumours tulizosikia zilikuwa sawa), top 4 akaikosa, timu ikawa siyo mkamtimsha, amekuja huyu mwamba, mambo ni yale yale.
Tunaweza kuwa tunawabebesha makocha mzigo, lakini tatizo ni kwamba timu haitaki kufanya fully investment kwenye kusajili, mnasajili kwa kulishia, mwisho wa siku zigo linamwangukia kocha.
Subili kesho mnaenda kusukumiziwa ukuni huko nyuma mpaka mshuke daraja
Southampton wanakuja kutembeza mkuyenge humu mpaka mlainike tu






Poleni sanaMashabiki ya man city inabidi uyavizie kwenye kordo za timu nyingine maana hata uzi hayana.Subili kesho mnaenda kusukumiziwa ukuni huko nyuma mpaka mshuke daraja
Southampton wanakuja kutembeza mkuyenge humu mpaka mlainike tu
Halafu Arsenali tunasubiri.Dortmund wamemtimua kocha wao.
Baada ya kipigo cha tano moja
Hizi pimbi haziwezi kufunga hata zikiwa zinyewe uwanjan, na magori yapo waziArsenal nawatakia ushindi mwema








Naona unakosa adabuKama dad wako anavyofanywa
Mzee umekula Maharage ya wapi?
1 ziyech = 8 Willan + 25 pepe
1 Werner = 40 Lacazette
1 Kante = 10 Partey + 20 Xhaka
1 James = 20 Hector
1 Kovacic = 100 Mo
50 Abraham = 1 Auba
1 Thiago = 20 Luiz + 150 Mustafi
Hii arsenal nayo ni timuMashabiki ya man city inabidi uyavizie kwenye kordo za timu nyingine maana hata uzi hayana.
Wewe nilikuambia nyinyi vinabo tu. Sasa subirini muone