Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

MM sio shabiki wa Arsenal ila mwamuzi wa pambano la jana la Arsenal na Newcastle alikuwa very biased! Maamuzi yake yalikuwa yanafuata kelele za mashabiki wa NC. Ni mara nyingi kama mliangalia vizuri yeye na mwamuzi wa pembeni (mshika kibendera) maamuzi yao yalikuwa yanatofautiana sana! Pia penati ya pili was a disgrace! haikuwa halali kabisa. Ila ndio mpira.
 
Mich hebu jaribu na vingine huenda ni vitamu zaidi! Karibu Chelsea utakuwa karibu nami baba wa kiroho

Najua huko nje kuna vitamu zaidi....ila nimeshafunga ndoa na Arsenal......nawewe unasema ndoa haivunjwi bila sababu za msingi Rev......ila nikichoka kidogo zaidi nitajaribu...i hope sitanogewa hadi kuvunja ndoa.....lol
 
MM sio shabiki wa Arsenal ila mwamuzi wa pambano la jana la Arsenal na Newcastle alikuwa very biased! Maamuzi yake yalikuwa yanafuata kelele za mashabiki wa NC. Ni mara nyingi kama mliangalia vizuri yeye na mwamuzi wa pembeni (mshika kibendera) maamuzi yao yalikuwa yanatofautiana sana! Pia penati ya pili was a disgrace! haikuwa halali kabisa. Ila ndio mpira.

Kweli kabisa mkuu,sema ndio kama ulivyosema "ndio mpira" na refa ndio mwenye maamuzi ya mwisho.Ingekuwa american football tunge challenge calls zake nyingi lol.
 
MM sio shabiki wa Arsenal ila mwamuzi wa pambano la jana la Arsenal na Newcastle alikuwa very biased! Maamuzi yake yalikuwa yanafuata kelele za mashabiki wa NC. Ni mara nyingi kama mliangalia vizuri yeye na mwamuzi wa pembeni (mshika kibendera) maamuzi yao yalikuwa yanatofautiana sana! Pia penati ya pili was a disgrace! haikuwa halali kabisa. Ila ndio mpira.
Siku ya kufungwa lazima ufungwe yaani kila kitu kinakuwa against you marefa,upepo.Nlilivyoona mnaongoza 4-0 nikasema leo mtashinda hata goli 12 kwa ile spidi na jinsi Newcastle walivyokuwa vibonde tangu Caroll ameumia.Safari bado ni ndefu sana ligi inazidi kuwa tamu
 
ninafuraha kwa chelsea kufungwa ila ameonewa mana lilegoli alilofungwa kaonewa yan live kaonewa ila kufungwa ilikuwa safi sana
 
Wakuu dua zenu zinahitajika kumuombea Djouro apone goti haraka hiwezekanavyo.

gun__1281611498_profile_Vermaelen_45.jpg

Thomas Vermaelen (Achilles)

gun__1281612160_profile_Song_45.jpg

Alex Song (Thigh)

gun__1281611933_profile_djourou_45.jpg

Johan Djourou (Knee)
"If the opportunity turns up we will fetch it but, if not, I believe we can cope." he told Arsenal.com.
We have solutions internally with Ignasi Miquel, with Alex Song who can play centre back..." - Arsene Wenger, Jan 12, 2011.

...No need to panic wazee, lakini ukuta 'unanitisha na nyufa zake...
Bila Alex Song pale kwenye Defensive Midfield, na Djourou...wakati huo huo Diaby ana red card, na Denilson 'hatabiriki!'...mnh!
Anyway, Wenger anajiaminisha na 'untried' dogo; Ignasi Miguel
  • Born
    September 28, 1992
  • Barcelona, Spain
  • Position
    Defender
  • Joined Arsenal
    September 01, 2008
Cultured Catalan centre back Ignasi featured 12 times for Arsenal Reserves last term, captaining the team towards the end of the season.
Ideally suited to a side that likes to play football from the back, Ignasi is also strong in the air and has represented Spain at youth level. He played for the first team against Barnet during pre-season and could be in line for a Carling Cup debut in the near future.

tumblr_leppvm0W091qelt3zo1_500.jpg


Dogo ni huyo aliyekaa kati ya Physio Collin Lewin na Carlos Vela.
 

Arsene Wenger has admitted that he sees Dragan Stojkovic as the ideal candidate to succeed him at Arsenal...

Wenger amekuwa anampigia debe siku nyingi kutokana na connection yao ya miaka mingi enzi akiwa kocha wake mpaka kufikia kufundisha kilabu chake cha Nagoya Grampus na anajua ataweza kum-kontroo katika mambo yote ya transfer na bajeti.
Nionavyo mimi huyu bwana hana uzoefu wa kutosha, tunahitaji kocha mwenye uzoefu na uwezo bila kubadili tradition na staili yetu, binafsi ningependa kumuona Pepe Guadiorla ama hata Rijkaard.
 
Arsenal is in control!
arsenal.jpg



Hongereni sana majirani, naona mambo uhakika tayari....hahahahaha! The guy sounds like Wacha1.
 
 
Arsenal is in control!
Hongereni sana majirani, naona mambo uhakika tayari....hahahahaha! The guy sounds like Wacha1.


Mbona unamwonea Wacha1, the way I know Wacha1 he doesn't sound like that. Pole kaka .... ..khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



BTW ni wewe na swaiba wako ndio mnaosema Arsenal wako kwenye control au vipi?
 
 



Mbona unamwonea Wacha1, the way I know Wacha1 he doesn't sound like that. Pole kaka .... ..khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



BTW ni wewe na swaiba wako ndio mnaosema Arsenal wako kwenye control au vipi?


Kwa hiyo leo unamkana mshikaji wako Comical Ali (Mohammed Saeed al-Sahhaf)?!! OK, maandiko ya Woolwich yanasema utamkana mara tatu kabla bundi hajatua Emirates Jumatano 19:45 GMT.
 
Kwa hiyo leo unamkana mshikaji wako Comical Ali (Mohammed Saeed al-Sahhaf)?!! OK, maandiko ya Woolwich yanasema utamkana mara tatu kabla bundi hajatua Emirates Jumatano 19:45 GMT.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumbe hata hujui nani ana-mcontrol Bundi pole sana peasant you're a loser, bad loser for that matter. It shows how immature you are .... ..kabumbu tumewashinda iliyobaki ni donge linywe basi khe khe kheeeeeeeeeeeeee

Chacha hiyo J5 tunamchapa Barca chijui utasema nini? BTW J5 itakuwa halftime tu mambo yote ni kule Spain ndio fainali.


Nakualika Emirates J5 uje ona soka linavotandazwa katika wanja la kimataifa sio kile cha kwenu chenye matuta. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumbe hata hujui nani ana-mcontrol Bundi pole sana peasant you're a loser, bad loser for that matter. It shows how immature you are .... ..kabumbu tumewashinda iliyobaki ni donge linywe basi khe khe kheeeeeeeeeeeeee

Chacha hiyo J5 tunamchapa Barca chijui utasema nini? BTW J5 itakuwa halftime tu mambo yote ni kule Spain ndio fainali.


Nakualika Emirates J5 uje ona soka linavotandazwa katika wanja la kimataifa sio kile cha kwenu chenye matuta. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Naona umeanza tayari kutafuta sababu kwa kusema J'tano ni halftime tu, hiyo itategemea umekunywa goli ngapi. Nakuonea huruma maana Arsenil ndio timu pekee haijawahi kuitoa Barca among the traditional "big four", na kwa muziki wa Barca wa sasa na hiyo beki yenu ya kuungaunga sijui nini kitatokea!

I can't waste my time coming to Emirates, it's more of the library than a football stadium (been there twice), full of Prawn sandwich brigade Arsenal plastics, zero atmosphere. Ahsante kwa offer, nitaangalia home.
 
Naona umeanza tayari kutafuta sababu kwa kusema J'tano ni halftime tu, hiyo itategemea umekunywa goli ngapi. Nakuonea huruma maana Arsenil ndio timu pekee haijawahi kuitoa Barca among the traditional "big four", na kwa muziki wa Barca wa sasa na hiyo beki yenu ya kuungaunga sijui nini kitatokea!

I can't waste my time coming to Emirates, it's more of the library than a football stadium (been there twice), full of Prawn sandwich brigade Arsenal plastics, zero atmosphere. Ahsante kwa offer, nitaangalia home.

Khe khe kheeeeeeeeeeeeee kwani unafikiri tunacheza chandimu hii ni Champions League ambayo timu ya Chelsick haitashiriki kuanzia mwakani kutokana na kanuni za fair playing khe khe kheeeeeeeeeeeeeits home and away. Lazima uangalie tu huo mpira kwa sababu wababe wako watakuwa wanakuonyesha soka maridhawa. Ati ulikuja Emirates haturuhusu wauza unga pale khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
niaje mapipo nimenyamaza sanaaaaa..,. Kwa ajil ya matatzo ya hapa na pale ila kama kawa 2moro ushnd we2 na kama kawaida ndan ya jumatanooooo ushnd we2uuu hakuna cha BAKA wala nini yan ushnd we2uuu
 
Naona umeanza tayari kutafuta sababu kwa kusema J'tano ni halftime tu, hiyo itategemea umekunywa goli ngapi. Nakuonea huruma maana Arsenil ndio timu pekee haijawahi kuitoa Barca among the traditional "big four", na kwa muziki wa Barca wa sasa na hiyo beki yenu ya kuungaunga sijui nini kitatokea!

I can't waste my time coming to Emirates, it's more of the library than a football stadium (been there twice), full of Prawn sandwich brigade Arsenal plastics, zero atmosphere. Ahsante kwa offer, nitaangalia home.

14l09sh.jpg


I'd rather support with a prawns sandwich than "Jt-witching!"
 
Ati ulikuja Emirates haturuhusu wauza unga pale khe khe kheeeeeeeeeeeeeee


Vipi tena mteja wangu, mbona wanikana?! Si nilikuletea unga wewe na Paul Merson pale Emirates? Au ndio athari za madawa zimeanza kukufanya amnesic?! Unahitaji rehab mkuu, I can connect you to the rehab centre if want, just PM me anytime.
 
Back
Top Bottom