Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo imemuuma every Gooner....lakini yale matokeo mengine hayajakupa Raha ya kupata Usingizi ndugu yangu???? Hebu chek matokeo najua somewhere utatabasamu na kuona Heri wewe uliyedraw kuliko...................................................Hahahahahahahaaaaaaa
mkuu hii ya kutegemea wenzako wafungwe ili ufanikiwe ndio ilinikosesha ubingwa mwaka jana...maana ilifikia hatua tukawa tunategemea timu kama wigan kuifunga chelsea lol.
 
Sijawahi kuona tumepoteza muelekeo kwenye mechi kama kipindi ambacho Diaby ametolewa mpaka dakika ya mwisho.

Mnapokua Down to 1 or 2 men mnatakiwa muwe wakali zaidi na mcheze team work sasa sisi tuliacha kucheza mpira na kuanza kudefend + Uamuzi ndo matokeo yakawa hivo tena.............
 
Arsenal FC is more like Pakistan Cricket team! 4-4 na Newcastle bila ya Andy Caroll
 
Hizi ndo zile siku zinapima mapenzi yangu kwa Arsenal.......It hurts....anyway,VIVA ARSENAL:sick:

It hurts a lot my dear, but we're still in love with our team.

 
mkuu hii ya kutegemea wenzako wafungwe ili ufanikiwe ndio ilinikosesha ubingwa mwaka jana...maana ilifikia hatua tukawa tunategemea timu kama wigan kuifunga chelsea lol.

SURE.....Ila koz yeye alikua anataka kufarijiwa ili atleast alale...soma post zake...ana furaha sasa....Japo ndugu yangu wewe Huna...POLE again...
 
mkuu hii ya kutegemea wenzako wafungwe ili ufanikiwe ndio ilinikosesha ubingwa mwaka jana...maana ilifikia hatua tukawa tunategemea timu kama wigan kuifunga chelsea lol.

HAhahahahahah umenikumbusha mbali
 
Arsenal FC is more like Pakistan Cricket team! 4-4 na Newcastle bila ya Andy Caroll

Kumbe unajua kama AC mkali eeh! Sasa sijui mliona nini hadi kumkimbilia yule mviziaji wa magoli toka L'pool

 
Huyo ndo Rev wa 21st century....analisha kondoo na at the same time ni msajili wa timu kubwa kama Chelsea na ni mwanasiasa......
Rev,naipenda sana Arsenal,siku nikiihama inaweza kuwa mwisho wa kupenda soka......:coffee:

Mich hebu jaribu na vingine huenda ni vitamu zaidi! Karibu Chelsea utakuwa karibu nami baba wa kiroho
 
vyovyote mseme lakn THE GUNNERSSSSSS..... ALUTA CONTINUWAAA mmh! Hata kama 2mechapia lakn pamoja sana kama migomo ya vyuo na kudai pesa baba yake I LOVE ARSENAL SO MUCH! mai pipo pa1 sana
 
Mich hebu jaribu na vingine huenda ni vitamu zaidi! Karibu Chelsea utakuwa karibu nami

LOL! Kule si bado mnasumbuliwa na malaria sugu ambayo yule nyota wenu aliwasambazia wenzake. Sasa sijui kama ni malaria kweli kama hii tunayoijua au ni gonjwa jingine hahahahahahahah

 
In English football, "The Invincibles" has been used to refer to either the Preston North End team of the 1880s, or the Arsenal team of the 2003-04 season. In both cases, the teams won the top division of English football unbeaten, the only two times this has occurred in English football history.
Na itabaki kuwa hivo kwa miaka 100 ijayo, Manchester hii ya akina Evra eti nayo ya kuitwa invincible? I beg your pardon PLEEEEASSSSSS!!!!!
 
Vipi leo, mlikuwa hamna njaa ya ushindi?!!


Hapana ndugu yangu, ubahili wa management yetu unatokosesha raha sana. Kama unavyojua siyo siri kwamba defence yetu ni very shaky lakini hakuna juhudi zozote za kuipa nguvu defence ile ili iweze kupambana na timu zenye safu ya washambuliaji wenye uchu wa kuziona nyavu. Tuna mechi hivi karibuni na wale BARCA na wako fit ile mbaya, baada ya kuiona performance ya defence yetu leo basi inaweza ikawa ni aibu nyingine maana wanaweza kabisa kuamua kuweka kambi ya mashambulizi golini kwetu na kufanya karamu ya magoli.
 
LOL! Kule si bado mnasumbuliwa na malaria sugu ambayo yule nyota wenu aliwasambazia wenzake. Sasa sijui kama ni malaria kweli kama hii tunayoijua au ni gonjwa jingine hahahahahahahah


Mpwa wanifukuzia kakondoo hako! KEsho bila shaka utatupa shavu ze blues
 
Mpwa wanifukuzia kakondoo hako! KEsho bila shaka utatupa shavu ze blues


Hahahahahahahaa mchungaji na kondoo zake LOL! basi sitii neno tena...kesho siwapi shavu labda wangekuwa wale MANU

 
Najua we mkweli...So unajua muamuzi kaharibu game kwa kiasi gani....anyway tutaonana kesho...SUAREZ atanisaidia kukuficha....Otherwise prove me wrong...


Nini maoni yako kuhusu goli la Newcastle lililokataliwa?
 
Haya na yale sote tunajua kwamba karibia msimu wa tatu sasa hii timu yetu tunahitaji central back wa kusaidiana na TV5 na GK wa nguvu, pengine na striker pia kwa vile Chamakh nae naona kachemka, miaka nenda miaka rudi tumemlilia Wenger asajili world class players kwenye hizi idara.
Before season start tulihitaji kumpata kipa kama Shay Given, deffender type ya Garry Cahill na striker mfano D.Bent, Suarez ama Eto, hio yote ingewezekana kwa sababu hela ipo na kivutio cha kuishi London na kucheza CL ni advantage, ila Wenger ndio kikwazo na board wako happy kuona faida imeongezeka kila kwenye anual revenue announcement.
Makosa kama ya leo ndio yanatukosti ubingwa mwisho wa siku na yanatokea karibia kila msimu, alianza Almunia, Senderos na sasa akina Diaby wanatu-cost points muhimu na kwa ukweli kiongozi hakuna, discipline ni muhimu msimu mzima, sasa ona leo Diaby kasababisha tumekosa pointi 3 muhimu, na nadhani tunaongoza kwa red card kwa nini? Fabregas pamoja na kuwa ni fantastic player lakini sio kiongozi, mwanzoni mwa Wenger era tulikuwa na viongozi karibu kila idara kuanzia keeper Seaman, akina Adam, Dixon, Vieira, Bergkamp, Henry na hata akina Ljunberg, Pires and co walikuwa ni very professional na wako so organized.
 
Furaha itaongezeka kesho!

MKuu ninafuraha sana leo! kesho tunapunguza gap


Kumbe kelele zote hizi bado hata hamuwezi kutufikia ... .... pole sana khe khe kheeeeeeeeeeeeee

Why is that this arsenal hater referee phil dowd always bring down arsenal lead all the time. 2 penalties for goodness sake. He added additonal time during sunderland vs arsenal match, gave spurs a penalty. seriously i just dont like him bcos he has inflicted us so much for years.

Huyo na rafiki yake Mike Dean na mkuda mwingine wako kwenye pay roll ya Fergi na Abraham O Vich watatumia kila mbinu wala usitie shaka tumepunguza gap kwa Manure ..... imgawa wengi hawalioni hilo tungefungwa hapa pasingetosh system ingejam na Mungiki Brother angeingia rasmi ingawa hivi sasa bado ni Invisible ..... ... wametumwa akina Peasant's na Rev bandia kujishaua. Khe khe kheeeeeeeeee

Tumepoteza nafasi ya kupunguza points zaidi leo kwa man united ,sema powaaa tu.

Mkuu tumepunguza point moja mwaka huu unaweza amuliwa kwa magoli ati .... ...

Hawa Wolvs wamezipiga Both Man u n City, Chelsea and Liverpool....so top 4 ya EPL kabaki Arsenal ambayo tutacheza nao away.....na haya majeruhi sijui kama tutatoka ila kwa njaa ya Ushindi najua Lazima tushinde.........

Tunakwaana nao next weekend Emirates.

mkuu hii ya kutegemea wenzako wafungwe ili ufanikiwe ndio ilinikosesha ubingwa mwaka jana...maana ilifikia hatua tukawa tunategemea timu kama wigan kuifunga chelsea lol.

Unless hufahamu maana ya League. ... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee

Arsenal FC is more like Pakistan Cricket team! 4-4 na Newcastle bila ya Andy Caroll


Walipokutundika magoli ulikuwa wapi? Khe khe kheeeeeeeee

Nini maoni yako kuhusu goli la Newcastle lililokataliwa?

Nini maoni yako kuhusu goli alilofunga Van Persie ambalo lilikataliwa? Khe khe kheeeeeeeeee
 
Nimewaambia arsenal ni sawa na timu ya cricket ile Pakistan ! Watu ooohhhh wozoza mkorofi
 
Kumbe kelele zote hizi bado hata hamuwezi kutufikia ... .... pole sana khe khe kheeeeeeeeeeeeee



Huyo na rafiki yake Mike Dean na mkuda mwingine wako kwenye pay roll ya Fergi na Abraham O Vich watatumia kila mbinu wala usitie shaka tumepunguza gap kwa Manure ..... imgawa wengi hawalioni hilo tungefungwa hapa pasingetosh system ingejam na Mungiki Brother angeingia rasmi ingawa hivi sasa bado ni Invisible ..... ... wametumwa akina Peasant's na Rev bandia kujishaua. Khe khe kheeeeeeeeee



Mkuu tumepunguza point moja mwaka huu unaweza amuliwa kwa magoli ati .... ...



Tunakwaana nao next weekend Emirates.



Unless hufahamu maana ya League. ... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee




Walipokutundika magoli ulikuwa wapi? Khe khe kheeeeeeeee



Nini maoni yako kuhusu goli alilofunga Van Persie ambalo lilikataliwa? Khe khe kheeeeeeeeee



khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom