Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Safi sana at least vidonge ninavyowapa vinafanya kazi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wametuhuzunisha sana hawa watoto wa wenger,ila hata man u nao mpk halftime washachapwa 2-1.
 
Una maana CL ? Hahahahhah pale mnachapwa kama mnalia na Barca.

CL si tayari tunalo???....l.o.l

Tutachapwa UEFA Rev eehh....Heri waliao maana wao.......lol.....siku ya hiyo mechi utahitajika sana kutupa moyo kondoo wako.......kwamba God still loves Arsenal....
 
Kesho sidhani kama unachomoa kwa watoto wa King Kenny.

139732.jpg

 
CL si tayari tunalo???....l.o.l

Tutachapwa UEFA Rev eehh....Heri waliao maana wao.......lol.....siku ya hiyo mechi utahitajika sana kutupa moyo kondoo wako.......kwamba God still loves Arsenal....

CL nilikuwa nina maana champions league. Rev Masa hates Fat-Arse -Anal
 
CL nilikuwa nina maana champions league. Rev Masa hates Fat-Arse -Anal

Acha kunichanganya Rev....sasa pale si nimeandika UEFA au unatumia hizo terminology za tofauti kunichanganya kondoo wako??

Haya Rev....nimeelewa CL inamaanisha Champions League mi niliposema UEFA nilimaanisha Champions league.....
 
Kama wewe tu Rev....umejua mjukuu hafuatilii FA basi unani challenge tu??? do you believe in football miracles???:laugh::laugh:

Yes I do! nimecheka sana nilipokuchanganya all its good mipira na jokes
 
Back
Top Bottom