Ifikie hatua tukubali Tu kwamba Mou ni kocha anayejitegemea , japo ana madhaifu yake pia ..... Ukiwa na Mourinho tu kwenye benchi inatosha kuamin kuwa Una timu uwanjani
Arteta hana makosa, ni kocha mzuri hata akija Chelsea tutaendelea kukiwasha, Tatizo la Arsenal hamkuachana vizuri na Wenga. Mrudfisheni Wenga kama anaondoaka mumlazimishe aache baraka zake