Kuna vijamaa vinasumbua sana kwenye nyuzi za watu
Dully jr , will na aroan leo wamepigwa bao mbili safi kbsaa
Na matusi juu. Eti mara muhindi, mara hajui kingereza, eti anawachanganya wachezaji kuhusu "come" na "calm" ujinga mtupu.
Tunasubiria timu yetu ikae vizuri.
Bora tungekuwa na Guendouzi wetu Leo Bora kuliko willock
Kwa wilok na nketiah sawa... Ila kwa nelson nakukatalia mkuu, yule dogo bs tu hajakutana na kocha mahiri + akina smith row n madogo wngne wanaojua pale emirate.... Iv unamkumbuka SESE GNABRY??? kilichitokea, usije kushangaa na kwa nelson ikawa.. then tutaishiaga kusema tu arsenal product bs ....Hatuna timu pale ni genge la wapuuzi tu,huwezi kusema una timu ya ku-compete EPL ukiwa na takataka kama Wilnock,Nelson,Nketiah,ni genge la wapuuzi tu wababaishaji
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kile ki'wilok cjui ateta anakipendea nn.... Bnafs sionag kbsa mchango wa kale kadogo zaid ya hasara tu kwny pitch.... Kuna mtu kama mustaph pale pa1 n kwmb ndoivo jua linazama lkn anaeza bs kwa kipind kilichobaki abadlshiwe japo majukumu kama ateta anaona hana kiungo mlinz.... Game ya jana imeboa sanaTatizo mlimruhusu Wenga aondoke na irizi kama Manure walivyomruhusu Fergusson akaondoka na irizi
Badala ya kumsajili Pep Gurdiola mkaamua kumsajili secretary wake (Arteta)
Watu wa humu mpira hamna ila midomo ya dada zenuTumecheza vizuri,Gunners chama kubwa,tena tukiwa pungufu ndio balaa zaidi Chelsea wanatujua,
Mkuu hata hao kina wenger na kina fegie warudi watapigwa mpka tuwashangae, EPL ya sasa imekuwa na makocha wazuri sana compared na nyakati zao.Tatizo mlimruhusu Wenga aondoke na irizi kama Manure walivyomruhusu Fergusson akaondoka na irizi
Leo ni 2020 wewe"Wanacheza mpira mzuri (Arsenal). Wana tawanyika haraka, wana shambullia na kuzuia kwa pamoja. Mimi ni shabiki wa Arsenal nikiwa England."
-Diego Maradona mwaka 2008




No no no tufanye Arse8 1-2 Wolves hapo tumeridhika kabisaOk, tufanye Leeds 4-0 Arsenal, umeridhika now




Ni kweeeeeeliiii kaaabiiisaaaaaaHakuna bahati ktk football






Labda muunde UCL yenuGunners chama kubwa, huyu Balogun anaturn kama Benzema vile, kule Pepe mnyama mkali ni mizungusho tu, pale Joe Willock what a player! Ni suala la muda UCL tunarudi next season







Hehehe bado ngap zifike sita za bureWazee weekend tunamuua Wolverhampton mazishi tunapeleka White hart lane,hizi point sita za bure kabisa.




Hiki ndicho mnachojivunia 😂😂😂 TAKATAKA"Wanacheza mpira mzuri (Arsenal). Wana tawanyika haraka, wana shambullia na kuzuia kwa pamoja. Mimi ni shabiki wa Arsenal nikiwa England."
-Diego Maradona mwaka 2008
Mkuu ni bora usiangalie gemu zote za Arse8..maana ni utopolo tu ..timu nzima tumepigwaGame ya leo sitaangalia mtanipa matokeo Gunners wenzangu kila nkiangalia kwa jicho la 3 la viungo tulionao kwa sasa sitaki maumivu ya live