Ile cku Arsenal anatufunga United goli 1 kwa 0 pale OT ilikua mechi yangu ya 3 kuitazama * The gunners* ikiwa chini ya Arteta,kiukweli Arsenal haichezi vizuri hasa kwenye kushambulia wanatengeneza nafasi chache mno tena ni kawaida mno kukuta mechi imeisha huku Arsenal ikiwa imelenga mashuti mawili tu langoni kwa mpinzani wake,naona wachezaji wanacheza kwa maelekezo zaidi kuliko uwezo wao hasa Willian namuonea huruma sana.ukiacha Lampard namuona Steve Gerrard namuona nae anakuja vizuri sana kiukweli Olesendeka na Arteta watafute shughuli nyingine tu ukocha hawawezi au warudi tena darasani.