Pole sana mzee maana misiba utapata kotekote ....😂😂😂😂😂Wazee weekend tunamuua Wolverhampton mazishi tunapeleka White hart lane,hizi point sita za bure kabisa.
Gunners chama kubwa, huyu Balogun anaturn kama Benzema vile, kule Pepe mnyama mkali ni mizungusho tu, pale Joe Willock what a player! Ni suala la muda UCL tunarudi next season
Hawana jipya, Spurs kibonde wetu wa kudumu,Wolves lazima afe atake asitakePole sana mzee maana misiba utapata kotekote ....![]()

Wakati mwingine mtu anakuletea picha kama hii na unajiuliza kwanini anafuatilia mpira.
Mbona hawalinganishi idadi ya vikombe(silverware)???Wakati mwingine mtu anakuletea picha kama hii na unajiuliza kwanini anafuatilia mpira.
Arteta hii ni kazi yake ya ngapi kama kocha mkuu?
Emery kashashindwa kuharness potentials za wachezaji wangapi kila alikopita? Anza na Mbape.
Emery alicheza mpira gani Arsenal? Huku Ozil akiwa anaweza kutumiwa lakini ilikuaje?
Hiyo ligi aliyo Emery hua inatawaliwa na Madrid na Barcelona ambao kwa sasa wao wenyewe hali mbaya. Ligi ambayo inamuomba Messi asiondoke kwakua itakosa mvuto.
Emery kaikuta timu anayotakiwa kusonga nayo mbele kama kuna ishu za viraka ni chache tu. Arteta anadeal na Arsenal ambayo inatakiwa kufumwa upya. Ndiyo maana kaitaka misimu ya kujijenga.
Kuna michezo mingi siyo lazima mpira. Fuatilia hata kibao kata.
Pundit? Pundit mwingine ni Ferdinand soon baada ya ushindi wa Man kwa PSG akasema Ole agewe mkataba na wamuachie ajiandikie mshahara anaoutaka na ninanukuu "... man united is back Ole is at the wheel"Pundit amenenaView attachment 1636506
Huchelewi kujipiga ban ya lazima wewe.Wazee weekend tunamuua Wolverhampton mazishi tunapeleka White hart lane,hizi point sita za bure kabisa.
Hahaha mmiliki wa Liva na mwenzake wa Man walipoamua kuanzisha project big picture ilitakiwa top teams zikubaliane na huo uamuzi.Kuna shabiki humu anaielewa Arsenal kuliko Mersons?View attachment 1636641
Anafunga vibonde hata haya hauna unamsifia kumbuka pia pepe anafunga magoal ya kideo kwenye Hiyo ligi ya futuhi akija kwenye ligi ya miamba mnabaki kumtukanaGoli la Balogun dhidi ya Molde.
Balogun anapokea mpira anageuka anashuti mpira unakuta kipa alitarajia Balogun acurve so akawa kashaenda kulia. Yule kipa angedaka lile shuti kama angepiga Lewandowski, Muller, Ronaldo, Aguero as striker aliye kamili ule mpira angetaka kuupeleka upande wa kulia zaidi Balogun aliscore kwakua bado hajafikia ukamili huo akapiga kati.
Ikatokea angepiga curve ya kulia na kipa angedaka nisingemlaumu Balogun as angekua amefanya ambacho kila top striker angefanya ila kwa namna alivyoscore ni ama aimprove au aendelee hivyo hivyo na awe Adebayor mwingine pale Arsenal
Usiumie moyo, tunasifia wachezaji wetu Balogun is a top strikerAnafunga vibonde hata haya hauna unamsifia kumbuka pia pepe anafunga magoal ya kideo kwenye Hiyo ligi ya futuhi akija kwenye ligi ya miamba mnabaki kumtukana
Leeds tulikuwa pungufu angekufa, kesho tunashinda comfortably, Chama lipo imara litakushangazaKesho tukishinda itakuwa bahati sana kwetu na next match ni vs Spurs ,Arteta kwa sasa yupo yupo hana la kufanya ila asijaribu kumchezesha Willock kama namba 10 atapigwa kipigo kikali ni heri Nelson acheze huwa ana msaada mkubwa kuliko Willock na tangia EPL ianze hakuna mechi tuliyoshambuliwa tangia mpira unaanza hadi unaisha dhidi ya Leeds na kupata bahati ya kutofungwa sababu ya kiungo alichokipanga last Sunday
Hakuna kitu ambacho nakipenda kama kwenda kuwananga majirani zetu but kwa sasa sina la kusema pande zao tena
Let's wait and see tupo nafasi ya 14 hadi sasa haijawahi kutokea Arsenal kuwa nafasi hii na kwa mpira tunaocheza tukiwa wa 16 au 17 after 19 matches sitashangaaLeeds tulikuwa pungufu angekufa, kesho tunashinda comfortably, Chama lipo imara lilitakushangaza
Ligi ndo ilivyo, ukishinda mechi tatu unajikuta top 4Let's wait and see tupo nafasi ya 14 hadi sasa haijawahi kutokea Arsenal kuwa nafasi hii na kwa mpira tunaocheza tukiwa wa 16 au 17 after 19 matches sitashangaa
Hebu soma unielewe. Ukikuta nimeandika kitu usiwe unakikurupukiaAnafunga vibonde hata haya hauna unamsifia kumbuka pia pepe anafunga magoal ya kideo kwenye Hiyo ligi ya futuhi akija kwenye ligi ya miamba mnabaki kumtukana