Kwa Aina ya uchezaji wa Wolves lazima umpigwe mkijitahidi Sana Ni draw save hii comment utakuwa kuona wewemwenyewe.Wale jamaa wanakaba wanakupa mpira umiliki alafu wanatumia counter attack kukumaliza na nyinyi Ni wabovu Sana mkipewa nyinyi mmiliki mpira na mnaacha magepu wenzenu watayatumia.Sioni wepesi kwenye game na Wolves.
Hatuna Elneny hatuna Partey. Hatuna AM.
Siku hizi mid inakushindia mechi. Na defense inakupa titles.
Mid is in shambles defense inajitahidi. With such a mid hauhitaji defense inayojitahidi you need defense ya nguvu.
Wolves katoka kupigwa na kusuluhu so atakuja kwa nguvu zote trying to bounce back but the same to us na sisi tutaenda wounded trying to bounce back.
Itakua ni game la kuviziana na mishuti ya mbali ya Wolves.







