Numbers don't lieLampard vs Arteta:
Table: 3rd vs 14th
Goals: 22 vs 10
Clean sheets: 5 vs 3
Goal difference: +12 vs -2
Last two summer windows spending of clubs: £222m vs £221m
The gap is widening.
Ni kweli kaka.Kama unakumbuka hata kwa Emery nilisema apewe muda pia.
Ibrahimovic kasema ana mataji mengi kuliko Chelsea yeye ndiye anatakiwa kuisajili Chelsea na siyo Chelsea imsajili yeye.Hawa viande akili fupi sana kutwa majukwaa ya wanaume wanaacha kwao moto unawaka. Na yule jamaa wa Liver kuwajaza ujinga na wenywe wanafuata mkumbo tu
Sawa, but is not true???Humu kuna watu wanapokea taarifa na wanazileta hata hawapimi.
Ama la basi ni wafata mkumbo.
Chelsea ilifungiwa kusajili katika mojawapo ya hizo last two summers.
Baada ya kufunguliwa kusajili Chelsea inachuana na City katika kumwaga pesa za usajili.
So hii taarifa kwa makusudi imebidi iseme 'last two summers...' ili kuhalalisha hoja yao. Na Arsenal imetumia hicho kiasi kusajili wachezaji zaidi ya 8 (wengine hawachezi) Chelsea imetumia hicho kiasi kwa wachezaji watano.
Na hao watano ni wamesajiliwa dirisha lililopita. Kama na Arsenal ingehesebaiwa kwa dirisha lililopita ingeonekana imetumia pesa kidogo mno so ili kuifikia hiyo namba imebidi wafosi iwe 'last two summers...'ingawa chelsea alikua kwenye banio.
😂😂😂 Hizo ni shobo zake hakuna mtu kutoka Chelsea alijitokeza akasema tunataka kumsajili. Hata ivyo sisi tunasajili wachezaji wanaonukia UEFA yule na kuzunguka kwake club kibao hajawahi nusa klabu bingwa. Sasa anatofauti gani na nyie? 😂😂😂😂😂Ibrahimovic kasema ana mataji mengi kuliko Chelsea yeye ndiye anatakiwa kuisajili Chelsea na siyo Chelsea imsajili yeye.
😂😂 Uko sahihi kabisa ndugu. Mateta aut#ArtetaOut
Nasema uongo ndugu zangu?
Kwamba umemzuia mwanao A asinywe leo soda ila leo mwanao B kanywa soda moja.Sawa, but is not true???
Kwamba we have spent the same amount as they did in the last TWO windows??
Wachezaji wanaonukia UEFA? Katika wachezaji 5 mliosajili wangapi wamechukua UEFA?😂😂😂 Hizo ni shobo zake hakuna mtu kutoka Chelsea alijitokeza akasema tunataka kumsajili. Hata ivyo sisi tunasajili wachezaji wanaonukia UEFA yule na kuzunguka kwake club kibao hajawahi nusa klabu bingwa. Sasa anatofauti gani na nyie? 😂😂😂😂😂
Amejaza kabati ma trophies ya Serie A na League 1 tu😂😂😂 Hizo ni shobo zake hakuna mtu kutoka Chelsea alijitokeza akasema tunataka kumsajili. Hata ivyo sisi tunasajili wachezaji wanaonukia UEFA yule na kuzunguka kwake club kibao hajawahi nusa klabu bingwa. Sasa anatofauti gani na nyie? 😂😂😂😂😂
Anapenda sifa za kijingaAmejaza kabati ma trophies ya Serie A na League 1 tu
Hana trophy ya Premier league, UEFA Champions league, anajiona mjanja.
Ndio maana nikasema wanaonukia siyo waliochukua. Thiago kacheza final mwaka jana, Timo kacheza semi final, Mendy kacheza UEFA na Renais, Kai naye bado mdogo naye ananukia, Hakim unaelewa mwnyw shughuli yake.Wachezaji wanaonukia UEFA? Katika wachezaji 5 mliosajili wangapi wamechukua UEFA?
Naona Malang Sarr unamkwepaNdio maana nikasema wanaonukia siyo waliochukua. Thiago kacheza final mwaka jana, Timo kacheza semi final, Mendy kacheza UEFA na Renais, Kai naye bado mdogo naye ananukia, Hakim unaelewa mwnyw shughuli yake.
Huyo Zlatan wa nini aje kuwanukisha ubeberu kina Odoi?
Partey atarudi January baada ya kufanyiwa vipimo imeonekana hvyo!No partey No party

Malang Sarr ni free agent halafu sasa ivi yupo kwa mkopo anacheza UEFA. Huyo Zlatan amecheza UEFA mara ya mwisho lini? Yan kombe la farmers league ulinganishe na EPL?Naona Malang Sarr unamkwepa
Kama ishu ni kufika nusu au fainali kwani Arsenal haijafika?
Na kama ilifika hoja yako ya kwamba tunafanana na Zlatan ni sahihi?
Also Zlatan alifika nusu akiwa na PSG.
Cheki facts zako bro, Chelsea na Zlatan Zlatan ni kingunge subirini awasajili.