Enlightenment
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 1,321
- 3,307
Mkuu ulikua sahii, Mike Dean huwa hana masihara.Game ya leo kutakua na penati na kutakua na maamuzi ya utata ya VAR.
Mkuu ulikua sahii, Mike Dean huwa hana masihara.Game ya leo kutakua na penati na kutakua na maamuzi ya utata ya VAR.
Kapiga penalty kali, kipa kushoto mpira kulia 😅😅Pogba hajitambui, refa ni mike dean, halafu unaparamia mchezaji ndani ya box? Unafikiri Aubameyang atakuacha?
Si uje huku tu, huko uliko unachemka sana.Kapiga penalty kali, kipa kushoto mpira kulia![]()
Sasa huu ni muda wa kwenda uzi wa pundamilia nione watakavyochambua hii game



Lete tena screenshot mzeeLini wewe ulimfunga Man utd away? Lini? Haya ebu danganya tuone.... 2015 au?View attachment 1617008
Umeona mwezi babu basi tabu. Toka 2015 sasa umeshinda old trafford ndo unataka shots. Mbona saa zile ulizikana?Lete tena screenshot mzee
Kwani habari zangu huna? Ni mwendo wa clean sheet tu na points 3 muhimuSi uje huku tu, huko uliko unachemka sana.



Nilisema zina makosaUmeona mwezi babu basi tabu. Toka 2015 sasa umeshinda old trafford ndo unataka shots. Mbona saa zile ulizikana?
Nakusubiri weweKapiga penalty kali, kipa kushoto mpira kulia 😅😅
Tukamrudia nani??Nilisema hapo juu kua Kama strokers watakua 'awake' Hii game tunaweza kushinda bila shida yoyote Ile,
Miaka ya nyuma Man utd walikua wanafaidika sana na makosa yaliyokua yanafanywa na mabeki zetu(nadhani makosa ya mabeki ya kipindi Cha nyuma wote tunayajua),
Leo hii wameingia kucheza na arsenal ambayo mabeki wake wapo 'well organized',hivyo wakashindwa kupata chances ambazo zinazotokana na makosa ya mabeki,
Kiukweli bado mbele ubunifu hamna kabisa,hatuna budi mwakani tukamrudia aour.