Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Niwape pole kwa kipindi hiki kigumu tunachopitia na upumbavu wote tunao ushuhudia. Mawasiliano yamekuwa ya shida sana
 
Walah! Sio mapema, ni wakati sahihi.

#ArtetaOut
Mi hua mgumu kusema kocha aende.

Hua mwepesi kuonyesha shida ya timu.

Enzi za Emery shida ilikua morali.

Kipindi hichi shida ni AM. Arteta katransform defense ila at the cost of attacking.
 
Mi hua mgumu kusema kocha aende.

Hua mwepesi kuonyesha shida ya timu.

Enzi za Emery shida ilikua morali.

Kipindi hichi shida ni AM. Arteta katransform defense ila at the cost of attacking.
Joe Willock si yupo na ni mchezaji bora kabisa ndio maana kajumuishwa katika kikosi bora kilicho sheheni nyota mfano, Nicolas Pepe, Willian, Nketiah nk. Hivyo kocha ndio tatizo, anawachezaji chaguo lake lakini ameshindwa.

#ArtetaOut
 
Joe Willock si yupo na ni mchezaji bora kabisa ndio maana kajumuishwa katika kikosi bora kilicho sheheni nyota mfano, Nicolas Pepe, Willian, Nketiah nk. Hivyo kocha ndio tatizo, anawachezaji chaguo lake lakini ameshindwa.

#ArtetaOut
Ok acha tuone wishes zako zitajibiwaje na performance ya timu.
 
4 3 3 ila mid 3 iwe 2 1.

2 Ceballos na Partey au Partey na Elneny.

1 Willian.

Front 3 iwe Auba, Laca na Pepe.

Hiyo ni unlikely so nafikiri we will go with our usual 3 4 3.

We need this victory. Laca na au Pepe wana magoli yao.
 
Ule Muda wa nyie matakataka kuzunguka kwenye majukwaa ya wanaume ..umeisha au ndo VPN hamna😂😂😂😂😂

Leo Rashid Makame atawapakata...

Here we goooooo Nyumbussss😂😂😂💪💪💪
 
4 3 3 ila mid 3 iwe 2 1.

2 Ceballos na Partey au Partey na Elneny.

1 Willian.

Front 3 iwe Auba, Laca na Pepe.

Hiyo ni unlikely so nafikiri we will go with our usual 3 4 3.

We need this victory. Laca na au Pepe wana magoli yao.
At this moment mambo ya formation yananichosha tu wachezaji wajitambue wajue fans tunataka nini that's it

Formation zimepangwa mara kwa mara ila matokeo mabovu sababu ya wachezaji wenyewe kutojua wanataka nini
 
Kweli? Kwani man u hajapigwa mbili bila na Arsenal nyumbani kwake? Emery akiwa kocha? Kisha akapigwa tena na suluhu
Lini wewe ulimfunga Man utd away? Lini? Haya ebu danganya tuone.... 2015 au?
20201101_103820.jpg
 
Joe Willock si yupo na ni mchezaji bora kabisa ndio maana kajumuishwa katika kikosi bora kilicho sheheni nyota mfano, Nicolas Pepe, Willian, Nketiah nk. Hivyo kocha ndio tatizo, anawachezaji chaguo lake lakini ameshindwa.

#ArtetaOut
Ngoja tuwapigeni bao 7, ndio hiyo Arteta out ita noga zaidi.
 
Back
Top Bottom