ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,378
- 118,789
Mbona nafasi tumetengeneza za kutosha, tatizo hatumalizi nafasi tulizotengeneza.Pamoja na kucheza vizuri lkn bado hatutengenezi nafasi za kufunga nadhani ni muda muafaka wa kutumia plan nyingine means kupiga mashuti tukikaribia langoni kwao
