There are currently 17 users browsing this thread. (12 members and 5 guests)BJ na Manda mpo?
au ndio mnashangilia goli lenu la tatu dhidi ya A.Villa?
VIVA ARSENAL........Habari zenu binafsi Arsene,Quest,Kweli,Murefu,Mbu na wageni waalikwa na wasioalikwa??Tuko pamoja........:first:
There are currently 17 users browsing this thread. (12 members and 5 guests)
Kweli VUVUZELA Questt Michelle Arsene Wenger Eqlypz Rev Masanilo Fabolous Baba Mkubwa MUREFU MkimbizwaMbio
naona hawa ghafla wamejumuika na kuwa katika 5 guests
Naona Arshavin anajituma hapa.
Kwi kwi kwi kwi kwi viwete wanatangaza vita!
Walcott naona nae kaumia.