Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mai PIPO 2dei we are free yan waswail wanasema ADUI YAKO MUOMBEE NJAA yan hakuna ki2 kizur kama kumuacha mbal M2 MJI kwa point 3 na pia mech ijayo ninafikir ndo 2tamuacha vzur zaid sasa bac ninamuombea nae M2 UNIT nae atoe na afungwe mech angalau mbil 2uu ili nikae kilelen na ma dream IPO SAWA KABISA ninamaliza kwa kusema THEEE... GUNNERSSS....SS MPOOOO...
 
Sasa hivi wanachuki na Luiz na Torres! Hawa jamaa ni waajabu sana they cannot compete financially leave alone on the pitch. Kuna jamaa tumeweka dau Chelsea watamaliza msimu wakiwa juu ya Fat Arse-Anal.

Duh is this the content from you mkuu?????
 
Duh is this the content from you mkuu?????

0,,10268%7E9382719,00.jpg

 


Pole mkuu nasikia licha ya kampeni kwenye magazeti bado mmekula hasara ya £71 million imebidi mkimbilie kukinga bakuli kama rais Mwizi.


BTW mkipata hata million 10 kwa kaniki ya Tor the res nitakualika tunywe chai. Khe khe kheeeeeeeeeee
 
dah! Kusema ukwel leo inabid 2kaze mana dah! Hawa watoto waliokuwa chn hawa mh! Ila nimeongea na wenger amesema ushnd lazma hata kama 2tashnda 2 - 1 ila 2takuwa 2meShnda au co THE GUNNERS mana wali2pga home sasa na cc 2nawapga kwao leo kuna ARSENAL na NEWCASTOR yan dah! Ila je pamoja na yakwangu itakuwaje kat ya LIVERPOOL NA CHELSEA hapa kunakitendawili hapa je leo TORRES alie kuwa amezoeleka kuckika anawaliza wengne je leo atawaliza nyumban?
 
Szczesny, Sagna, Koscielny, Djourou, Clichy, Walcott, Wilshere, Diaby, Fabregas, Arshavin, Van Persie


List ndio hilo wakuu tuko pamoja.Leo majukumu yote ya Song nambebesha Wilshere.


Kila la kheri gunners wote.
 
Tunatesa kwa zamu leo. NC walipotufunga nyumbani walitamba sana kama vile waliutwaa ubingwa wa EPL. Tukipiga nyingine mbili au hata tatu itakuwa imetosha kuwatia adabu.

Siye 3 wao 0 raha sana
 
I was Out...just back crib....This is Amazing.....I dont believe they beat us back at the Emirates........Gunnerz 4 ever....
 
I was Out...just back crib....This is Amazing.....I dont believe they beat us back at the Emirates........Gunnerz 4 ever....

Very amazing my dear. Wale MANU na Mzee wao SAF saa hizi.wameshanuna maana wanajua bado tunaendelea kuwakoromea kooni, waliomba sana leo tupoteze mechi hii ili waongeze gap kule kileleni waliko.
 
Newcastle fans wanaondoka uwanjani mbona mapema sana ha aha ha ha.

Hawakutegemea kipigo kama hiki bora wakalale mapema LOL! Bado nyingine 2 ili tumalize siku. Maana kuna uwezekano kabisa mshindi wa msimu huu akapatikana kwa goal difference hivyo tukiwapia 6 au hata 7 basi tutakuwa tumejipa nafasi nzuri kama itatokea kufungana kwa points.
 
Great game so far, thx 2 BAK n AW 4 updates, nyways any1 knows which streaming 's workin? Kila ninapopita naambiwa homeland security wameteka nyara
 
Hawakutegemea kipigo kama hiki bora wakalale mapema LOL! Bado nyingine 2 ili tumalize siku. Maana kuna uwezekano kabisa mshindi wa msimu huu akapatikana kwa goal difference hivyo tukiwapia 6 au hata 7 basi tutakuwa tumejipa nafasi nzuri kama itatokea kufungana kwa points.

kama vipi tuwa[ige hata 10 hili kuongeza idadi ya magoli,manake ligi ngumu sana u never know siku ya mwisho bingwa anaweza kupatikana kwa magoli.
 
Back
Top Bottom