Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa EVERTON hawajawahi kufungwa baada ya HT kuwa mbele this season....Furthermore waliwapiga Man City kama wamesimama...AW asipokua makini kubadili technique za uchezaji hata dro mbao itakua haitoshi....koz Man U tayari wameshashinda 2-0.....Tutawakamata lini na bado wana game in hand???????????
 
Nona wachezaji wetu wako frustrated na inaweza kutuharibia zaidi kama watashindwa kuzuia hasira zao.
 
...Hosni Mubarak kagoma kujiuzulu, Man U wanaongoza kwa goli mbili, Chelsea wamepata goli la tatu, Everton ndio hivyo tena, dirisha dogo lishafungwa,...mnh!
sijui nichukue likizo? frustrations tupu...
 
Naona Mrusi kaingia na bonge la pande ila RVP kamaliza vibaya.......nadhani nae angetoka HASIRA inamtawala...aingie Mdenish sasa....
 
arshaaaaaaaaavinnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnn
 
Back
Top Bottom