Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Duh naona jamaa alikuwa offside sema ndio hivyo refa ndio mwamuzi wa mwisho.
I hope tutaamka sasa na kurudisha na kuongeza.
I hope tutaamka sasa na kurudisha na kuongeza.
Tumeshapigwa........tena kulikua na nyekundu pale kama refa angepiga filimbi.....Tatizo bado lipo Kati...but TUTASHINDA HII GAME...............
Duh naona jamaa alikuwa offside sema ndio hivyo refa ndio mwamuzi wa mwisho.
I hope tutaamka sasa na kurudisha na kuongeza.
Haikua Offside kaka..hata mimi nilidhani ni offside..ila baada ya replay nimeona last touch ni KOS so aliua offside...kama last person angekuwa mchezaji wa EVERTON then that would be a straight OFFSIDE.......Inauma ila nakiri ni goli halali......
Fabregas anatuangusha tena ,nafasi ya wazi.
Hiki sasa Kimeo....DENILSON MAJERUHI....SONG nae anachechemea......kama akitoka hiki KIMEOZA na ndo itakua mwendo mdundo....
Wakuu ahsanteni kwa updates, Denilson tokea ile mechi ya Hudder aliumia ila wenger ndo ivo mzee wa ku-gamble, dirisha dogo ameshindwa kuimarisha kikosi anajiamini kuchapa karata, tumeshayazoea miaka nenda miaka rudi.Hiki sasa Kimeo....DENILSON MAJERUHI....SONG nae anachechemea......kama akitoka hiki KIMEOZA na ndo itakua mwendo mdundo....
Noma tupu.
Wakuu ahsanteni kwa updates, Denilson tokea ile mechi ya Hudder aliumia ila wenger ndo ivo mzee wa ku-gamble, dirisha dogo ameshindwa kuimarisha kikosi anajiamini kuchapa karata, tumeshayazoea miaka nenda miaka rudi.
Wakuu streaming gani inaonesha hii mechi, niangalie walau palipobakia.
Djouro nae kaumia bega.
Ahsante sana mkuu
SONG nae Nje.......MKURUGENZI wa VIMEO Li...Diaby ndani...Game OVER........Sina tena matumaini...imebakia personal uwezo uje utuokoe kwenye hii game...AW atajua maana ya KUSAJILI.................