Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

jamani inamana niko peke yangu humundani shabiki wa Arsenal?

siasa kila wakati inaboa jama
Hauko peke yako tuko weengii,ajabu hii posti nimeiona leo labda coz nilijiunga juzijuzi anyway our Arsenal is nowadays improving. Mwaka huu makombe matatu ni lazima yatue pale Emirates stadium.
Hebu just think the way our players are doing these days,mpira wa touch na kuonana ni jadi ya Arsenal lakini ongeza ufundi wa Samir Nasri,uhodari wa Alex Song,El-Captano Fabregas,Johan na weengi wengine.

Samir Nasri kaumia kaka,bado tunamuombea iwe salama.....tunamuhitaji sana....inshaAllah tutakwaa makombe,kazi ipo kubwa sana mkuu...
 
kifimbo cheza umerudi tulikumis sana jamani hahahahahaha najivunia kisw lugha yetu:coffee:

Ndicho ninachokupendea wakati mwingine! Sasa wengine wanataka onekana wasomi kumbe ni kama Rev Masa Kata secondary!
 
jamani mie ni mpenzi wa arsenal hivi kuna haja ya arsenal kumsajili fabregas next season? kwa nini asiondoke tukapata kiungo mlinzi (like viera ) na striker mmoja wa nguvu? for 2day game. gunners 2 everton 0
 
...Haya wazee, In Arsene Wenger we trust.
Dirisha la usajili limefungwa.

Watani wetu wamekurupuka na father Xmas wao
images
£50m zimewatoka, kumbe mchawi

mwenyewe ('santa claus' kwa kupangua benchi la ufundi mara kwa mara)

Ngwe ya lala salama hii,... No need to panic, ...atleast for now!
Together we stand!

wamemwaga hela unafikiri ule msukosuko waliopata miezi iliopita ilikuwa kidogo? lol


Wenger kaamua inabidi tuendeleze dua zetu za kuwaombea wachezaji wetu wasiumie.
 
jamani mie ni mpenzi wa arsenal hivi kuna haja ya arsenal kumsajili fabregas next season? kwa nini asiondoke tukapata kiungo mlinzi (like viera ) na striker mmoja wa nguvu? for 2day game. gunners 2 everton 0

Kiungo mlinzi si yupo Song. Ukimuuza fabregas na kuziba pengo lake kwa kiungo mlinzi nani atakuwa playmaker?
 
Arsenal: Szczesny, Sagna, Djourou, Koscielny, Clichy, Song, Wilshere, Walcott, Fabregas, Rosicky, van Persie. Subs: Almunia, Diaby, Arshavin, Eboue, Gibbs, Chamakh, Bendtner.
Everton: Howard, Neville, Heitinga, Distin, Baines, Coleman, Arteta, Rodwell, Fellaini, Bilyaletdinov, Saha. Subs: Mucha, Jagielka, Beckford, Gueye, Osman, Anichebe, Baxter.
Referee: Lee Mason (Lancashire)
 
Arsenal: Szczesny, Sagna, Djourou, Koscielny, Clichy, Song, Wilshere, Walcott, Fabregas, Rosicky, van Persie.

Arshavin ngoma yake kweli ngumu lol,Nasri kaumia nilijua atapata nafasi ya kujituma hili Wenger haweze kumfikiria lakini wapi.Wenger hana mna wakupoteza nae naona kaamua kumpa namba Rosicky.


Kikosi kizuri na tutegemee mpira wa kuvutia kwani Everton nao wanapenda kucheza "open football".


Kila la kheri washabiki wenzangu,point 3 muhimu leo.
 
Squad sio mbaya...Nasri is a missing person.....Rosicky sio mbaya though ana tendency ya kupoteza mipira kwa unnecessary driballings.....But hope leo itakua much of team work kwenye kukaba...Everton wana Fellaini...The guy is good katikati na kwenye set pieces ....Mungu ijaalia Arsenal Mungu ijaalie Furaha yangu........10 minures to go.....
 
Arshavin ngoma yake kweli ngumu lol,Nasri kaumia nilijua atapata nafasi ya kujituma hili Wenger haweze kumfikiria lakini wapi.Wenger hana mna wakupoteza nae naona kaamua kumpa namba Rosicky.


Kikosi kizuri na tutegemee mpira wa kuvutia kwani Everton nao wanapenda kucheza "open football".


Kila la kheri washabiki wenzangu,point 3 muhimu leo.

Rosicky spanner mkononi....Wala hana ubavu wa mucheza 90 minutes akiwa fresh n fit....so lazima mrusi ataingia sub hasa from 70th min ...
 
Uneisikia hiyo kutoka EMIRATES??? "ON BEHALF OF ARSENAL FOOTBALL CLUB I NOW WELCOME THE ARSENALLLLLLLL" Then boys wanatokeza.......Raaaaaha sana.......
 
Rosicky spanner mkononi....Wala hana ubavu wa mucheza 90 minutes akiwa fresh n fit....so lazima mrusi ataingia sub hasa from 70th min ...

Yeah mrusi atakuja,nikwamba nilitegemea ataanza kutokana na Nasri kuumia sema naona Wenger hana confidence nae.
 
wadau naona so far tumeshikwa sana.........Katikati bado hatujacheza as we alwayz play......Song anakua kama beki kabisa.....FAB ndo kafichwa kabisa......Boys need to get their feet on the ground.....Am getting bananaz with this game....
 
refa hakua fea kabisa pale...fellaini kacheza faul na kapeta...wakulaumiwa pale ni lainsman zaidi koz event imetokea infront of him.......
 
Refa kashindwa nini kuplay advantage pale kwenye move ya TW??????
 
Tumeshapigwa........tena kulikua na nyekundu pale kama refa angepiga filimbi.....Tatizo bado lipo Kati...but TUTASHINDA HII GAME...............
 
Back
Top Bottom