Nadhani hata hali ilivyo sasa bado club ingeweza kumfungulia law suit Ozil, ameleta madhara makubwa sana kimapato na mahusiano ya club na jamii mbalimbali. Nahisi ni busara tu imetumika kumuacha, maana akidaiwa kufidia damage alizoleta atafilisika kila kitu.
Jamaa amenisikitisha sn vitendo vyake, hana professionalism kabisa. Sijui hata km ana watu wa kumshauri, eti juzi anajitolea kumlipa yule katuni wa Gunners ambaye analipwa $1000 huku kasababisha loss za mabilioni kwa club, Ozil ni aina ya watu flani masnitch sn afu anajipaka rangi mbele za watu.
Kama ulivyosema sidhani kama atapata deal ya maana baada ya kuondoka Arsenal kwa sababu ni club gani iliyo tayari kuingia mgogoro na soko la China kwa zama hizi?