Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kweli nimeanza kuamini yule bwana aliyesema religion is the opium of the people alikuwa sahihi.. Yaani kweli wewe kama ungekuwa kocha ungeendelea kumpanga goigoi Ozil ambae form yake inapanda na kushuka kama homa za vipindi!.. Halafu ni kama unapotosha ukweli makusudi unapojaribu kuonyesha kuwa hapangwi kwa kuwa yeye ni Muslim.. Hivi Elneny ni Siku hizi Mkatoliki? Maana naona anacheza kila mechi, au Mustafi nae ni Musabato!.. Yaani kwa sababu ya udini mnaanza kumtetea flop Ozil.. Mtu ambae alicheza karibu mechi kumi bila assist aendelee kuvumiliwa tu. Kwenye issue ya covid 19 alijaribu kugomesha wachezaji wenzake wagomee makato ila nyie mnaona hiyo ni sawa tu!... Kimsingi huyu bwana aachwe aende kwa kuwa anatuvuluga nje ya uwanja... Bro mimi nakuomba muache kuingiza udini kwenye michezo, inakera sana aisee!
Tuelewane.

Siyo hapangwi kwakua muislamu au hayupo form. Ni hapangwi kutokana na ishu za kisiasa zaidi za nje ya uwanja.
 
Tuelewane.

Siyo hapangwi kwakua muislamu au hayupo form. Ni hapangwi kutokana na ishu za kisiasa zaidi za nje ya uwanja.
Sasa nyie mnalalamika nini kama mnajua mpaka sababu za yeye kutopangwa!... Kwa vile anayempiga benchi ni Arteta basi mpigieni simu mumwambie mmechukia kwa yeye kutompanga, sisi hapa hatutawasaidia chochote!.. Kocha ndie anakaa na wachezaji kila siku, anawajua nje ndani!.. Tatizo mnadhani mnaangaliaga mpira peke yenu lakini ukweli utabaki palepale kuwa Ozil wa sasa kaflop sana, si yule ozil bingwa wa assists na fundi wa mpira wa 2013 hadi 2017.
 
Sasa nyie mnalalamika nini kama mnajua mpaka sababu za yeye kutopangwa!... Kwa vile anayempiga benchi ni Arteta basi mpigieni simu mumwambie mmechukia kwa yeye kutompanga, sisi hapa hatutawasaidia chochote!.. Kocha ndie anakaa na wachezaji kila siku, anawajua nje ndani!.. Tatizo mnadhani mnaangaliaga mpira peke yenu lakini ukweli utabaki palepale kuwa Ozil wa sasa kaflop sana, si yule ozil bingwa wa assists na fundi wa mpira wa 2013 hadi 2017.
Wewe unaonekana una hasira usije ukanipiga bure
 
..
 

Attachments

  • Screenshot_20201011-233948.jpg
    Screenshot_20201011-233948.jpg
    70.9 KB · Views: 7
Gunnersaurus aliposimamishwa kazi Mesut akajitolea kumlipa.

Arsenal ikaingilia kati kwa kusena haina haja kwakua atarudi kazini mashabiki wakiruhusiwa kurudi uwanjani.

Ile siku ya deadline Arteta, Edu na wenzao wakiwa bize kumuhangaikia Partey huku Sevilla walikua bize kumuhangaikia Gunnersaurus.

So hatimaye Sevilla wamemsajili Gunnersaurus, mascot aliyekua analipwa pesa ndefu kuliko wote Uingereza, paundi 80,000 per week.

Mesut alitaka kumsave huyu bodi ikasema hajafukuzwa hapa najiuliza sasa kwanini wameruhusu aende Sevilla kama hajafukuzwa.
 
Halafu hili nakupinga kila siku Xhaka siyo AMF
Mkuu hii nafasi ya AMF ndio nafasi aliyokuwa akicheza akiwa Borussia Monchengladbach kabla ya kusajiliwa Arsenal na ndio aliyopatia umaarufu mpaka Arsenal wakamuona.

Tofauti ipo kwenye timu ya taifa tu, ambapo anacheza kama CMF.

Usikaze kichwa mkuu.
 
Kama mimi ndiyo kocha.

Xhaka haanzi.

Ataanza Ceballos ama Elneny.

Huku mbele itakua Pepe, Auba na Willian.

Lacazette bado anakumbukwa kwa blunder zake kwa Liva.
Nakuunga mkono hapa mkuu.

Laca ana blunders nyingi sana.
 
Kwenye mfumo 3-4-3 kule mbele wasimame Pepé, Auba na Willian.

Pepé anasaidia sana akikaa na mipira akiwapa muda zaidi Auba na Willian wachukue nafasi tucheze counter attacks..

Pia Pepé na Willian wana skills nyingi wakicheza pembeni kuliko atakapocheza Auba pembeni.

Auba anahitaji kuwa karibu na goli kwa sababu ana speed pia anajua kufunga.

Tukiweka hivi, City waweke beki zao zote wanazozitegemea lazima wanyooshwe!

Kule nyuma (back line) sina shida nako.. Wakifanikiwa kupata goli basi moja tu mana Sterling akicheza kama straika hatoweza kuipita ile ngoma ya Arsenal kule nyuma kiurahisi.

Bado naiona game inatoa opportunity ya timu yeyote kushinda, japo mashabiki pinzani wa Arsenal wanaweza ona tunaweka ushabiki.

Nawaambia wasiende uwanjani na matokeo mkononi, hii ni Arsenal mpya.
 
Mkuu hii nafasi ya AMF ndio nafasi aliyokuwa akicheza akiwa Borussia Monchengladbach kabla ya kusajiliwa Arsenal na ndio aliyopatia umaarufu mpaka Arsenal wakamuona.

Tofauti ipo kwenye timu ya taifa tu, ambapo anacheza kama CMF.

Usikaze kichwa mkuu.
Unajua AMF anakua na skill moves, flexibility, agility na pace kubwa. Yaani kwa sifa hizo ni sawa zaidi ukamfanya Pepe AMF kuliko Xhaka.

Xhaka ana stamina, long range accuracy, long ball expert, height, ball winning kubwa, fighting spirit. Xhaka ni Kante zaidi kuliko hata Ceballos.

Na hata wakati Arsenal inamsajili Xhaka haikumsajili kwakua haina AMF ilimsajili ili aje kufanyi kazi swala la kukaba.

Everything you need to know about Granit Xhaka

Naamini tumesettle hii ishu.
 

Attachments

  • Screenshot_20201012-082007.jpg
    Screenshot_20201012-082007.jpg
    81.5 KB · Views: 6
Gunnersaurus aliposimamishwa kazi Mesut akajitolea kumlipa.

Arsenal ikaingilia kati kwa kusena haina haja kwakua atarudi kazini mashabiki wakiruhusiwa kurudi uwanjani.

Ile siku ya deadline Arteta, Edu na wenzao wakiwa bize kumuhangaikia Partey huku Sevilla walikua bize kumuhangaikia Gunnersaurus.

So hatimaye Sevilla wamemsajili Gunnersaurus, mascot aliyekua analipwa pesa ndefu kuliko wote Uingereza, paundi 80,000 per week.

Mesut alitaka kumsave huyu bodi ikasema hajafukuzwa hapa najiuliza sasa kwanini wameruhusu aende Sevilla kama hajafukuzwa.
Hajaenda Sevilla bhana, Sevilla walikuwa wanafanya utani tu kuwa wamemsajiri

Castr jaribu Ku review vyanzo vyako vizuri, Kuhusu kulipwa alikuwa analipwa hela ndogo sana inakadiriwa £50,000 kwa mwaka ,hata bench La Ufundi ukitoa Arteta sidhani kama yupo anayelipwa £80k per week ..

Wale kina Cagigao waliopigwa redundancy unaambiwa mishahara yao kwa mwaka ni £2.5m na walikuwa 55

Halafu ile kazi ni part time ,Yule jamaa ana shughuli zake nyingine

Sevilla walifanya Utani ile siku dirisha linafungwa ,wakionesha wamemsajiri ,but ilikuwa Jokes tu
 
Takwimu:Hakuna mchezaji yeyote aliyewahi kuichezea Arsenal safu ya ulinzi aliyefunga husika kwenye magoli mengi zaidi kumzidi Hector Bellerin.

Amehusika kwenye mabao 27 akiwa na jumla ya mabao 7 pasi za mabao 20 akiwa ameichezea Arsenal michezo 162 akiokoa nafasi hatari langoni 53.



#Respect
IMG-20201012-WA0002.jpg
 
Pierre-Emerick Aubameyang amejitoa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Gabon kwa sababu anasumbuliwa na maumivu madogo ya kifundo cha mguu japo alifanikiwa kufanya mazoezi na Arsenal juzi.

#coyg
 
Kama mimi ndiyo kocha.

Xhaka haanzi.

Ataanza Ceballos ama Elneny.

Huku mbele itakua Pepe, Auba na Willian.

Lacazette bado anakumbukwa kwa blunder zake kwa Liva.
Blunder moja isifanye mtu asipangwe tena, kwa maoni yangu Lacca ana uwezo mkubwa wa holdup play kuliko Auba, games za caliber ya city tunataka striker atakayeweza kukaa na mpira.

Katikati nakubali Xhaka apumzishwe, aanze Partey na Elneny, then Ceballos awe more advanced.
 
Back
Top Bottom