Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
In a way hajasema pengine unamchukia ozil, au hata kama amesema hivyo the bottom line ameongelea dini yake ambapo si mimi binafsi nimewahi kushuhudia comment zako za chuki juu ya uislam.Nimesikitika sana Huyo ndugu kusema namchukia Ozil, wakati nimeleta taarifa ,tena awali nilikuwa sijui kama hili la China lina athari kubwa
Na msimamo wangu nimekuwa nikisema Ozil yupo sahihi 100%
Lakini Na Arsenal wapo sahihi 100%.
Kwahiyo Arsenal wakajitenga wasiendelee kukosa mapato ambayo hayo hayo wanayatumia kumlipa Ozil
Angalia hapa chini Jinsi Arsenal alivyoanza kukosa mapato ...
View attachment 1595883View attachment 1595884
Namna hii pengine isajorsergio yupo sahihi kabisa. Na mimi naamini hivyo