Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Blunder moja isifanye mtu asipangwe tena, kwa maoni yangu Lacca ana uwezo mkubwa wa holdup play kuliko Auba, games za caliber ya city tunataka striker atakayeweza kukaa na mpira.

Katikati nakubali Xhaka apumzishwe, aanze Partey na Elneny, then Ceballos awe more advanced.
Game na Sheffield alianzia benchi. Kocha alijua wazi kua huyu jamaa inabidi atulize kichwa kwanza. Binafsi nilisapoti kuanzia benchi 2 clear chances kuziharibu kama vile siyo fair.

Pia hiki kitu niliwahi kusema. Aubameyang hana skills za kumuwezesha kucut in na kuscore. Ndiyo maana nzi wakimjalia kidogo tu anakwama kusababisha madhara.

Hivyo kwangu mimi ni sahihi zaidi Auba kua kati. Unampunguzia strain ya kutaka kuchambua watu ili ascore au aassisst. Lampard anamuweka werner kule pembeni wakati pale kati tu kuwatoka watu kunamshinda kazidi kumuweka kule jamaa amezidi kua kiazi.
 
Elneny n midfielder tukikutana na timu ndogo, ambazo hazina presha kubwa. Elneny unaweza ukasema n young xavi

Game ngumu elneny haziwezi kabisa, mfano wa haraka game na Liverpool elneny kapiga forward pass 1 back pass zaid ya 20

Partey kumuweka na elneny n kutafuta matusi kwa liver7 na wadogo zetu Chelsea

Xhaka muweke na partey ninauhakika kiungo kutakua sold sana,
Cebalos muweke mbele yao. Then elneny atokee sub

Narudia tena Mohammed Elneny n mchezaj tukikutana na hiz timu ndogo ndogo

Watu kama de brune, Silver, Rodri,
Wanahitaji mtu Mwenye roho mbaya ambae tulikua tunamtegemea xhaka tu, bora sasa ameongezeka huyu partey


Mkiniletea stats zilizoonesha elneny ka perform vzur katika big match.
Mimi nitaletea dawa ya corona, mashabiki waingie uwanjani
 
Elneny n midfielder tukikutana na timu ndogo, ambazo hazina presha kubwa. Elneny unaweza ukasema n young xavi

Game ngumu elneny haziwezi kabisa, mfano wa haraka game na Liverpool elneny kapiga forward pass 1 back pass zaid ya 20

Partey kumuweka na elneny n kutafuta matusi kwa liver7 na wadogo zetu Chelsea

Xhaka muweke na partey ninauhakika kiungo kutakua sold sana,
Cebalos muweke mbele yao. Then elneny atokee sub

Narudia tena Mohammed Elneny n mchezaj tukikutana na hiz timu ndogo ndogo

Watu kama de brune, Silver, Rodri,
Wanahitaji mtu Mwenye roho mbaya ambae tulikua tunamtegemea xhaka tu, bora sasa ameongezeka huyu partey


Mkiniletea stats zilizoonesha elneny ka perform vzur katika big match.
Mimi nitaletea dawa ya corona, mashabiki waingie uwanjani
Wew jamaa unamchukulia poa Elneny
 
Elneny n midfielder tukikutana na timu ndogo, ambazo hazina presha kubwa. Elneny unaweza ukasema n young xavi

Game ngumu elneny haziwezi kabisa, mfano wa haraka game na Liverpool elneny kapiga forward pass 1 back pass zaid ya 20

Partey kumuweka na elneny n kutafuta matusi kwa liver7 na wadogo zetu Chelsea

Xhaka muweke na partey ninauhakika kiungo kutakua sold sana,
Cebalos muweke mbele yao. Then elneny atokee sub

Narudia tena Mohammed Elneny n mchezaj tukikutana na hiz timu ndogo ndogo

Watu kama de brune, Silver, Rodri,
Wanahitaji mtu Mwenye roho mbaya ambae tulikua tunamtegemea xhaka tu, bora sasa ameongezeka huyu partey


Mkiniletea stats zilizoonesha elneny ka perform vzur katika big match.
Mimi nitaletea dawa ya corona, mashabiki waingie uwanjani
Elneny amecheza games 2 na liva. Moja tukachukua ngao ya pili tukafungwa 3.

Siku ile nilikuuliza yeye kapiga pasi hizo wenzake wamepiga ngapi?

Arteta alikuepo siku ile lakini alimtoa Xhaka kwanini hakumtoa Elneny?

The whole team crumbled siku ile na haikua kosa la Elneny au nani. Unahisi Arteta alikua chizi alivyomuacha Elneny?

Baada ya game ile na liva kati ya Xhaka na Elneny nani alianza mechi iliyofuata?

Hivi upo serious kumbe mi nilijua unatania
 
Ornstein: Saliba set to stay at Arsenal. (Good news, lets see how the next 2/3 months goes for him. If its not great then Jan is around the corner could join his former club on loan)



BREAKING: William Saliba will be included in the Premier League squad and is expected to stay with Arsenal until at least January, via @David_Ornstein.
 
William Saliba will be included in the Premier League squad and is expected to stay with Arsenal until at least January. @David_Ornstein
 
Arsenal paid Mesut Ozil £8 million loyalty bonus last month.

Many eyes will now focus on whether Ozil will feature in Arteta’s Premier League squad, with lists scheduled to be announced on October 20 after the closure of the domestic transfer window.

One name expected to be included in that is William Saliba.

It is understood William Saliba will be with Arsenal until at least the January window. [The Athletic]
 
Blunder moja isifanye mtu asipangwe tena, kwa maoni yangu Lacca ana uwezo mkubwa wa holdup play kuliko Auba, games za caliber ya city tunataka striker atakayeweza kukaa na mpira.

Katikati nakubali Xhaka apumzishwe, aanze Partey na Elneny, then Ceballos awe more advanced.
Lacca mimi namwelewaga sana!.. Huyu jamaa atatusaidia sana msimu huu maana naona anaimprove japo makosa madogo madogo bado yanatokea
 
Mkuu nikiri kwamba me ni miongoni mwa fans wakubwa sn wa Ozil, tatizo kubwa la Ozil ni kutaka kubehave personally wakati yupo kwenye organization yenye principles.

Unapokuwa kwenye organization yoyote not just a football club, unakuwa umekubali kuishi chini ya utaratibu husika.

Kitendo alichofanya Ozil ni ukweli usiofichika kuwa ameiathiri club sana, huko juu watu wamejaribu kusite players wengine ambao ni muslims na hawakutoa comments zozote.

Naamini sio kwamba hawakuguswa lkn walitambua na kuheshimu taratibu zinazo waongoza kwenye vilabu vyao. Yeye ameng'ang'ania misimamo yake hata baada ya kuona madhara, mfano angeomba radhi tu angepungukiwa nini?

Kwahiyo kwa xhaka hili tunaliona??? Kwa ozil??

Umesahau the way tulivyokuwa tukimuomba abaki??? Sio Sisi mashabiki tuliokuwa mitandaoni tukiiambia bodi wampe ozil salary anayotaka ilimradi tu abaki???
 
Uzuri wa yule farao huwa anafanya vitu anavyoambiwa na mwalimu....
Na ndio ubora wake ulipo hapo.

Kuna kipindi cha wenger , song alikuwa anapiga assist kwa rvp lakini babu alipoulizwa akasema song anachofanya sio anachomwelekeza 🤣🤣🤣
 
Lakini mkuu game mentality hii itabidi unisaidie vizuri.

Mdogo wangu ameoa mzungu. Taratibu zao za maisha ni tofauti sana, mawifi wakianza maneno yao ya chokochoko nawaambia tulieni. Si mlishangilia sana nyinyi siku ile ya harusi hamkujua mtoto wa watu hajazoea kwenda sokoni na kukaa vibarazani jioni kupiga umbea??

Tulipomsajili ozil 2013 tukashangilia sana hizi mambo za kukaba hatukuzijua?? Tulipomuongezea mshahara na mkataba bado tu hatukuzijua hizi mambo??

Issue ni hiyo ya China na kukataa pay cut during Corona.
Ni kweli kabisa tulimjua vema na Wenger alijitahidi kubadili mfumo ili kumpa nafasi Ozil lakini kwa sasa kocha sio Wenger tena. Lakini pia kwa mchezaji wa level yake ni rahisi mtu kuamini he can change for the better.

Watu kadhaa wanasema Ozil mvivu, mimi nakataa kwa 100%. Ukiangalia stats zake kipindi cha Wenger alikuwa sometimes anatop list ya ground coverage na akishuka atakuwa wapili au watatu.

Siyo mvivu ila hafati tactical instructions, ndio maana anakuwepo uwanjani na anazunguka muda mwingi(average ya 10km+) lakini haonekani anachofanya. Hata Wenger juzi anahojiwa alikiri Ozil sio mzuri tactically kwa sabab hiyo.
 
Jacob Partey:


"Actually for now, that is it. It is the biggest news of my life [Thomas joining #Arsenal] I had the dream the way Partey was trained to come up with the game, I know there are bigger things ahead and it’s just started."

IMG_20201012_125121.jpg
 
Back
Top Bottom