Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Elneny:

"Everyone was excited to see me back & when I trained, everyone gave me good feedback, saying ’Mo, you did well’ & this makes you get your confidence back. I will build it & build it & every day I try to learn new things. Yes [I feel wanted], all the time, every day"

Elneny: "I think in any job if you wake up in the morning, try to learn new things & try to improve every day… this is what is always in my mind when I wake up. I have to go training, I need to improve myself in everything" #Arsenal

Elneny - I feel wanted all the time, every day
IMG_20201012_223143.jpg
 
Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;

Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.

Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.

Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.

Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.

Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.

Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.

Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
 
Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;

Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.

Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.

Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.

Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.

Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.

Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.

Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
Hao chelsea hawaelewagi na hawajui kuwa kitimu chao ni kitimu kidogo tu!.. Walivyowabishi wanaweza wakaja hapa kubishana na hizi statistics
 
Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;

Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.

Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.

Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.

Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.

Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.

Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.

Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
giphy.gif
 
Elneny to Arteta:

“When I sat with him, I said, ‘The way you train, the way you want to play is the way I love to play’ and really I love the way we train, the way he is assisting everything in the club now and it makes me excited to give 100 per cent for the team."



“Under Emery, I was not playing much, that is why you can lose your confidence and your feeling to play. That is why when I went to Besiktas, on a one-year loan, I played always and brought the confidence back." #AFC #Arsenal

Elneny - I feel wanted all the time, every day
IMG_20201012_223143.jpg
 
Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;

Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.

Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.

Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.

Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.

Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.

Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.

Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
Kuna kipindi mourinho alikua kocha chelsea bhas akasema eti huyu Henry anafunga vitimu vidogo vidogo.

Bhas mhuni Henry kwenye mechi ya chelsea akawafunga chelsea.

Kwenye mahojiano akasema, " wanasema nafunga timu ndogo ndogo tu, kwahio chelsea nayo ni katimu kadogo tu.
Jamaa akafunga mjadala.
 
Henry mchezaji bora inaajulikana na hakuna anaebisha
Same to drogba Alkuw bora pia hasa kuwafunga arsenal mara nying Zaid kwa timu za top four
Ukikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;

Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.

Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.

Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.

Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.

Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.

Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.

Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
 
Kuna kipindi mourinho alikua kocha chelsea bhas akasema eti huyu Henry anafunga vitimu vidogo vidogo.

Bhas mhuni Henry kwenye mechi ya chelsea akawafunga chelsea.

Kwenye mahojiano akasema, " wanasema nafunga timu ndogo ndogo tu, kwahio chelsea nayo ni katimu kadogo tu.
Jamaa akafunga mjadala.
Na huo ndio uhalisia, unapoamua kutaja vitimu vidogovidogo lazma uitaje chelsea labda uwe umeisahau kibinadamu tu.
 
Henry mchezaji bora inaajulikana na hakuna anaebisha
Same to drogba Alkuw bora pia hasa kuwafunga arsenal mara nying Zaid kwa timu za top four
Kuna member alisema subiri plastic wa chelsea aje kukupa takwimu zake. Kwahiyo ulitaka Henry na yeye aifunge Arsenal mara nyingi?
 
Kuna kipindi mourinho alikua kocha chelsea bhas akasema eti huyu Henry anafunga vitimu vidogo vidogo.

Bhas mhuni Henry kwenye mechi ya chelsea akawafunga chelsea.

Kwenye mahojiano akasema, " wanasema nafunga timu ndogo ndogo tu, kwahio chelsea nayo ni katimu kadogo tu.
Jamaa akafunga mjadala.
Umenikumbusha Aubameyang ,Walikuwa wanasema kwenye Big match anazingua na hafungi

Kilichotokea Akawapiga Man city 2, Chelsea 2,

Liverpool 1, akafunga mjadala
 
Najua maeneo yako hayo, ngoja nitulie
Siyo maeneo yangu yalikua yananishinda ndiyo nikataka kugawa digits humu.

Ila Arsenal wanafight Tierney arudi lakini TFF ya Scotland imesema kumruhusu Tierney kuondoka wakati ilidirect wachezaji wawili wajiisolate itakua ni upendeleo kwa Tierney. So anaweza asiwepo.
 
Siyo maeneo yangu yalikua yananishinda ndiyo nikataka kugawa digits humu.

Ila Arsenal wanafight Tierney arudi lakini TFF ya Scotland imesema kumruhusu Tierney kuondoka wakati ilidirect wachezaji wawili wajiisolate itakua ni upendeleo kwa Tierney. So anaweza asiwepo.
Naona nyuma waanze Holding, Luiz na Gabriel
 
Ozil tunakaribia kumaliza mkataba wake June. Natumaini kama hatacheza mambo ya nje yataisha kimya kimya. Sioni ubaya wake kiasi unavyoona wewe lakini natumaini tutajitahidi kuziba pengo lake uwanjani kwa mbinu bora na tutafanikiwa. Itabidi tupambane tu tuvumilie msimu huu na msimu ujao tutarudi tena. Kama China hawataonesha mechi zetu yeye akiwa muajiriwa wetu, tutaumia sisi ni kila timu inayotakiwa kukutana nasi, wakianza Man City Jumapili. Kama yuko sahihi na msimamo wake, kuna tunaoumia na wapo wanaofurahia kuwa wana mtu anaewajali hata kama ni mmoja tu kuliko maelfu wasioonesha kujali kwao. Ngumu hii.
Genius!
 
Back
Top Bottom