Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu jamaa ana Ni attack personally sana , sijawahi kujua shida nn, hilo swala la Ozil wala sijaweka udini, ila kuonesha tu bodi ya Arsenal ina haki , imekuwa nongwa
Let's talk futbol mkuu, achana na hizo habari na hisia za watu. Watu watafikiri wanavyotaka coz kila mtu hapa ana mrengo wake, iwe kisiasa, kidini au vinginevyo.

Kinachotuunganisha hapa ni Arsenal, napenda kusoma michango yenu, so let's talk futbol.
 
Let's talk futbol mkuu, achana na hizo habari na hisia za watu. Watu watafikiri wanavyotaka coz kila mtu hapa ana mrengo wake, iwe kisiasa, kidini au vinginevyo.

Kinachotuunganisha hapa ni Arsenal, napenda kusoma michango yenu, so let's talk futbol.
Shukran ,nimekuelewa
 
Boko alilotoa Xhaka ni muendelezo wa kiwango akichokionyesha ile siku tunacheza na liva na siku ya mechi ya Sheffield.

Usione ni bahati mbaya. Nilisema Elneny atafanya Partey asionekane umuhimu wake ila sasa ni Elneny anafanya Xhaka aonekane hana msaada.

Pia nilisema tumebakisha wiki mbili za kuangalia nani alikua sahihi kati ya mimi na mliokua mnanipinga. Now tumebakisha siku tano tu.

Kusema kweli I wish niwe wrong ila ndiyo vile. Let's see.
 
We jamaa hatimaye umekua senior member
😀 😀 😀 Ni furaha kwangu kuingia humu na kukutana na Gunners wenzangu, kubadilishana mawazo na kupambana na vivamizi kutoka nyuzi za wapinzani.💪💪COYG.
 
Boko alilotoa Xhaka ni muendelezo wa kiwango akichokionyesha ile siku tunacheza na liva na siku ya mechi ya Sheffield.

Usione ni bahati mbaya. Nilisema Elneny atafanya Partey asionekane umuhimu wake ila sasa ni Elneny anafanya Xhaka aonekane hana msaada.

Pia nilisema tumebakisha wiki mbili za kuangalia nani alikua sahihi kati ya mimi na mliokua mnanipinga. Now tumebakisha siku tano tu.

Kusema kweli I wish niwe wrong ila ndiyo vile. Let's see.
Xhaka ametumika sana chini ya Arteta , jamaa amecheza mechi karibu zote , kapumzika kidogo sana ,

Nadhan fatigue imeanza kumkumba ,mechi ya 3 sasa naona hayupo vzr kabisa ,

Nadhan partey kaja muda Sahihi , atamsaidia ,

Kifupi Xhaka alihitaji muda wakupumzika ,yule ndiye Anayetegemewa na Arteta katika mifumo yake ,
 
My prediction Vs City
IMG_20201011_224407.jpg
 
That's why nawashangaa manguli au wanaojiita manguli kusema eti ozil doesn't fit in the system au sijui ozil hakabi au sijui bla bla nyengine.

Ozil issue is political and that's the end of story.

Ozil is the type of people who will stand on what they believe until the last drops of their blood
Kweli nimeanza kuamini yule bwana aliyesema religion is the opium of the people alikuwa sahihi.. Yaani kweli wewe kama ungekuwa kocha ungeendelea kumpanga goigoi Ozil ambae form yake inapanda na kushuka kama homa za vipindi!.. Halafu ni kama unapotosha ukweli makusudi unapojaribu kuonyesha kuwa hapangwi kwa kuwa yeye ni Muslim.. Hivi Elneny ni Siku hizi Mkatoliki? Maana naona anacheza kila mechi, au Mustafi nae ni Musabato!.. Yaani kwa sababu ya udini mnaanza kumtetea flop Ozil.. Mtu ambae alicheza karibu mechi kumi bila assist aendelee kuvumiliwa tu. Kwenye issue ya covid 19 alijaribu kugomesha wachezaji wenzake wagomee makato ila nyie mnaona hiyo ni sawa tu!... Kimsingi huyu bwana aachwe aende kwa kuwa anatuvuluga nje ya uwanja... Bro mimi nakuomba muache kuingiza udini kwenye michezo, inakera sana aisee!
 
Kama mimi ndiyo kocha.

Xhaka haanzi.

Ataanza Ceballos ama Elneny.

Huku mbele itakua Pepe, Auba na Willian.

Lacazette bado anakumbukwa kwa blunder zake kwa Liva.
Kama atacheza 4-3-3 kati ningeanza

Partey xhaka ceba

Mbele

Pepe auba willian
 
Kama mimi ndiyo kocha.

Xhaka haanzi.

Ataanza Ceballos ama Elneny.

Huku mbele itakua Pepe, Auba na Willian.

Lacazette bado anakumbukwa kwa blunder zake kwa Liva.
Halafu ujue tunaweza kuipata combination nzuri ya Partey Elneny ceballos

Elneny kulinda back line na kupiga yupo vzr ,
 
Back
Top Bottom