computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Tuna mechi 2 na Liverpool week hii na pia I am sure hatuwezi kuwafunga hapo Anfield mfululizo kama blood fan wa Arsenal ni heri leo tupate point hapo na Thursday itafahamika kitakachojiri
Kugawana point na Liverpool sio mbaya lakini kwangu sio 1st option..Tuna mechi 2 na Liverpool week hii na pia I am sure hatuwezi kuwafunga hapo Anfield mfululizo kama blood fan wa Arsenal ni heri leo tupate point hapo na Thursday itafahamika kitakachojiri
True ila pata picha tungekuwa tunacheza na Liverpool today na Thursday tupo Emirates je unafikiri Liverpool wangekubali tuwapige game zote hizo?tena ndani ya siku 3?Kugawana point na Liverpool sio mbaya lakini kwangu sio 1st option..
Ikiwezekana tuwafunge pale pale kwao, wachezaji waende na mentality hiyo kama 1st choice.
Let's prove them wrong!
KabisaTulipoishia ndio tunaendelea, View attachment 1583546
Tukutane saa 4 anfield,mpira ni mchezo wa wazi na unachezwa hadharani.FT Liver 3-1 Arsen8
Naona kuna watu wanajipa moyo tayari
KabisaTukutane saa 4 anfield,mpira ni mchezo wa wazi na unachezwa hadharani.
Kuna dogo ananiambia 'Unaona wanaume tumepambana tumetoa suluhu?' nikacheka tu.FT Liver 3-1 Arsen8
Naona kuna watu wanajipa moyo tayari
Ndugu yangu, Siku hizi hakuna cha home wala away. Kilichokuwa kinachagiza mtu ujione away ni MASHABIKI. kelele za mashabiki majukwaani zinachangia sana kutoa hamasa kwa timu zao na kuzinyong'onyeza timu pinzani.... Level ya commitment mbele ya mashabiki ni kubwa sana kwa wachezaji. ....Tuna mechi 2 na Liverpool week hii na pia I am sure hatuwezi kuwafunga hapo Anfield mfululizo kama blood fan wa Arsenal ni heri leo tupate point hapo na Thursday itafahamika kitakachojiri
Umeongea kweli mashabiki ndio wenye hamasa hapa sibishi ila kumbuka tunaongelea Liverpool ambao tutacheza nao ndani ya siku 3 tena hapo Anfield ambapo kwetu ushindi ni mwikoNdugu yangu, Siku hizi hakuna cha home wala away. Kilichokuwa kinachagiza mtu ujione away ni MASHABIKI. kelele za mashabiki majukwaani zinachangia sana kutoa hamasa kwa timu zao na kuzinyong'onyeza timu pinzani.... Level ya commitment mbele ya mashabiki ni kubwa sana kwa wachezaji. ....
Bila washabiki mimi naona ni NEUTRAL GROUND.
#Liverpool ATAPIGWA, ATACHAKAA

najua hata sisi hatutakubali kufungwa mfululizo hapo that's why na prefer kupata points leo kuliko Thursday