LwandaMagere
JF-Expert Member
- Mar 15, 2020
- 264
- 2,489
Nasikitika Arteta kamuacha beki kisiki Gabriel nje
Holding kacheza vizuri sana na Mane.Nasikitika Arteta kamuacha beki kisiki Gabriel njeView attachment 1583794
Kweli kabisa!.. Wasipotufunga mpaka tunaenda half time itakula kwaoNaprefer points in all matches against them.
Natarajia hivi;
Tutaongozwa possession. Liva watacheza faulo nyingi ili kuhakikisha wanarudisha possession as fast as possible. Natarajia kadi za njano kwa kila timu angalau 2 na kuendelea.
Wote tutapiga pasi kuanzia 410. Kwa Arsenal mpiga pasi nyingi atakua Xhaka au Elneny (kama ataanza) kwa Liva ni Thiago kama ataanza.
Liva watapiga shots kuanzia 12+ Arsenal tutapiga shots kuanzia 1 - 12.
Kona kwa liva zitakua 6+ Arsenal itakua 0 - 6.
Ikatokea kipindi cha kwanza kimeisha suluhu ya bila bila tukirudi naamini Arsenal tuna chansi ya kushinda kuliko Liva. Liva wana technic moja ya 'attacking fullbacks' ambayo inakua ngumu kutoboa with 3 4 3 na hawana alternative.
Hii mechi tuombe tu VAR isiingilie kati.
Itakua gemu ngumu but it is worth it.
Kuna mchezaji mpya ambae humjui?Ndugu zangu kipigo kinawahusu Leo
Angalia midfield alioiweka Klopp halafu angalia Sub kawaweka akina nani
Sub zote beki ni mmoja tu , Sub katia Origi, Minamino,Jota na ongezea dogo Curtis Jones
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app


Download application | J FOOTBALL & MOVIE TVSHii mechi lacazette anazingua hawapi pressure mabeki wa liverpool ili wafanye makosa
Anisamehe kwa kweliAnazingua au siyo?Hii mechi lacazette anazingua hawapi pressure mabeki wa liverpool ili wafanye makosa
Tushachinjaa jogoo hukuu anapigapiga miguu anakata rohoThiago yupo nje ni majeruhi, na Jota nae yupo bench.
Arsenal inachezesha kikosi kilichocheza mechi ya ufunguzi wa ligi ukiondoa David Luiz ambae amechukua nafasi ya Gabby.
Game Plan.
Arsenal watakuwa wakiwaachia mpira Liverpool na kufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Alexandra Lacazette ana kazi ya kuwachezesha mabeki wa Liverpool akiwavuta huku na kule ili kumpa nafasi Aubameyang.
Mohamed Elneny ana kazi ya kumchunga Firmino kila anapokwenda.
Goli mpaka sasa ni 0-0