Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Kwa kiwango chake cha sasa, hii bei ni fair enough!Nadhani kama ni kweli tutakuwa tunamuachia kwa bei ndogo mno. 30m euro si kama pounds 25 sijui 27?. Kina Wan Bissaka na Maguire si walikuwa ghali zaidi. Naona kuna tatizo la kwenye evaluation ya baadhi ya wachezaji na finance department yetu. Vinai hayuko poa 😀. Ingawa Covid-19 imeleta mambo yake ila Bellerin siyo wa 25m pounds.


#EmiratesFACup trophies since then 
2014