Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,125
- 7,521
Sio km wale...wa kule...wanalia na Refa kila siku[emoji1787][emoji1787]Thanks Don Clericuzio, nnacho wapendea fans wa Liver wengi ni wanamichezo hamnaga mihemko ya kiboya kama kina fulani...
Sio km wale...wa kule...wanalia na Refa kila siku[emoji1787][emoji1787]Thanks Don Clericuzio, nnacho wapendea fans wa Liver wengi ni wanamichezo hamnaga mihemko ya kiboya kama kina fulani...
Dah ushindi unawapa kiburi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We panya hebu kalale acha kuzurura kwa wanaume!!
Wale wako kama mtoto wa kambo, ukimpa chakula anaamini yatakuwa makombo tu.Sio km wale...wa kule...wanalia na Refa kila siku[emoji1787][emoji1787]
Kepa?? Kwa mkopo?? Apo Arse8 kuna kipa wa kumkata namba.?Keppa pelekeni Norwich city kwa mkopo
Kabisa aisee, tungefungwa muda huu wote mngehama jukwaa lenu na kuhamia huku, anyway karibuni... Just a reminderDah ushindi unawapa kiburi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We Chuga unakulaga mjani nini?[emoji1787][emoji1787]Kepa?? Kwa mkopo?? Apo Arse8 kuna kipa wa kumkata namba.?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kepa?? Kwa mkopo?? Apo Arse8 kuna kipa wa kumkata namba.?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We panya hebu kalale acha kuzurura kwa wanaume!!
Huyu Ni mgonjwaCheki mmoja wao huyu Aaron Arsenal
Uzee unamchanganya huyu mzee.. Emi haendi kokote!From [emoji633] || Real Betis are currently keeping an eye on what’s happening with Emi Martínez. Manuel Pellegrini wishes to bring him to Betis.
https://t.co/P5FxvuvI83
Jitahidi uwe serious wakati mwingine.Kepa?? Kwa mkopo?? Apo Arse8 kuna kipa wa kumkata namba.?
Yaani wanakuja kwa makeke na kujigamba gamba halafu wakipigwa knuckles za kutosha wanakimbia kama vibaka?!Jogoo kanyongwa... Maana kisu kilikosekana kabisa!
Liverpool wako wapi mbona siwaoni
Achana na mijitu ya ovyo kama hiyo acha tusherekee kombe letu.we timu yako timu gani, na Kombe lako kombe gani????
wabongo huwa hamkubali kushindwa mna visababu vya kujitafutiza [emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuwa uzembe wa karne.From [emoji633] || Real Betis are currently keeping an eye on what’s happening with Emi Martínez. Manuel Pellegrini wishes to bring him to Betis.
https://t.co/P5FxvuvI83