Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kusema tunajazwa ujinga na sisi tunajaa ni kadharau comedy fulani hivi.

Anyway, kuna timu kama Leicester zimefika na kufikia kuchukua ligi. Lakini baada ya hapo nini kimekua?

Kuna timu ilichukue UEFA huku inashuka daraja.

Kipimo chako cha userious wa kuchukua UCL iwe ni kuchukua ligi hakipo sahihi kama unavyotaka.
Mkuu, usipoteze nguvu zako kwa huyo
 
Timu imebadilika kwa confidence kuongezeka na fighting spirit imeanza kupanda.

Once nilisema timu yetu siyo mbovu ila ipo lowa kwenye fighting spirit. Hilo likifanyiwa kazi kuna maandazi pale utayaona lulu.

Lukaku, Young, Herrera ni baadhi ya mifano ya players waliong'ara baada ya kurudishiwa confidence.

England hawakumuita Saka timu ya taifa siku moja mbele Saka anatangazwa mchezaji bora wa Europa kosa walilofanya England tusifanye kwa Niles.
Kabisa,still tunahitaji quality players kuleta balance kwenye game za level hii ya Liverpool, kama ulicheki game jana kuna muda watoto walikata sana upepo (hasa mbele)paka pale subs zilipofanyika
 
Huge U-Turn for Arsenal | Emi Martinez & Ainsley Maitland-Niles will stay at Arsenal next season. Told Holding could leave only on loan and comeback next season. #AFC

Tuliwapatia Juventus kipa mzuri sana kwa sababu ya Cech. Tusirudie kosa hilo. Kama tuna makipa wawili wazuri, tubaki nao wote ila kocha ajitahidi kuwafurahisha wote atakavyoweza. Cha muhimu ni wote waperform. Kuna mtu alisema huko juu kuwa hatukuona pengo la Leno. Hivyo ndo tunataka. Ikiwezekana kila position iwe hivyo
 
Ukikuta jogoo halijielewi kama hivi unalikanyaga.
 

Attachments

  • IMG_20200830_154836.jpg
    IMG_20200830_154836.jpg
    128.3 KB · Views: 4
Kusema tunajazwa ujinga na sisi tunajaa ni kadharau comedy fulani hivi.

Anyway, kuna timu kama Leicester zimefika na kufikia kuchukua ligi. Lakini baada ya hapo nini kimekua?

Kuna timu ilichukue UEFA huku inashuka daraja.

Kipimo chako cha userious wa kuchukua UCL iwe ni kuchukua ligi hakipo sahihi kama unavyotaka.
Siyo kuchukua ligi ila ni kuleta competition kwenye ligi. Sasa wewe unataka kuchukua UEFA kwenye ligi uko mchele mchele.
 
Wewe najua kwanini unateseka,ni Wazi kwamba Arsenal akichukua UCL basi wewe utabaki mtoto wa kambo pale London, hutakuwa na neno lolote mbele ya Gunners

Na kwa Arteta utachukia sana,ponda chupa unywe, mambo mazuri yanakuja.

#Coyg
Sasa nasemaje kama mna msuli mkachukue hilo kombe ili mtuumize roho zetu
 
"FA unacheza mechi ngapi mpaka uje kuingia final na CS ni mechi moja tu unategemea reaction yake itakuaje?"

Kwa haya mashudu uliyo ya andika ilikuwa haina haja kujua mmetokea wapi,this is arsenal thread fan yoyote atakaye kujibu yupo sawa.
Mkuu nasikitika kukwambia mihemko imekukurupusha vibaya. Kuna picha na maelezo katuma ndugu yako ndio mimi nikawa namkosoa na yeye alipojua kakosea akakausha kimya hakuendelea kujibu. Ghafla umeibuka wewe nikijua unakuja na la maana kumbe nae walewale tu.

Wakuu naombeni mtulie mambo bado.
 
Mkuu nasikitika kukwambia mihemko imekukurupusha vibaya. Kuna picha na maelezo katuma ndugu yako ndio mimi nikawa namkosoa na yeye alipojua kakosea akakausha kimya hakuendelea kujibu. Ghafla umeibuka wewe nikijua unakuja na la maana kumbe nae walewale tu.

Wakuu naombeni mtulie mambo bado.
Wanachama wenzako wanadiscuss jinsi ya kutatua matatizo yao kwenye uzi wenu, we unakujA huku kuleta chuki.
 
Arsenal kumpiga mkataba mwingine Niles , ingawa kabakiwa na miaka mitatu

Arteta nimeamin Ana nguvu , Klabu ilihitaji kumuuza ,Kocha kakataa


One source has told us that Arsenal are now looking into a new deal for the defender Maitland-Niles, who still has three years left on his present contract. [@SkySportsNews]
IMG_20200829_213514.jpg
 
So after yesterday ...

Both Emiliano Martinez and AMN close to new Arsenal contracts #arsenal #afc
 
Arsenal kumpiga mkataba mwingine Niles , ingawa kabakiwa na miaka mitatu

Arteta nimeamin Ana nguvu , Klabu ilihitaji kumuuza ,Kocha kakataa


One source has told us that Arsenal are now looking into a new deal for the defender Maitland-Niles, who still has three years left on his present contract. [@SkySportsNews]View attachment 1553328
Mo elnney angepewa mkataba mpya pia maana jana alikiwasha hatari
 
Reports suggested Torreira for £27m, Guendouzi for £35m/£40m & Chambers for £12m. Others linked with loan moves. Need to sell, fast.
.............
 
| #AFC

Despite the advances of Juventus and even some of PSG, Houssem Aouar is said to want a move to the Premier League, with both Man City and Arsenal interested.

J-M Aulas (the Lyon president) will not wait for any offer less than €50m. [@abdellahboulma] https://t.co/oTjS2c4nec
 
Jitahidi uwe serious wakati mwingine.

Tangu ligi ianze upya rank yamakipa kwa idadi ya saves wa kwanza ni Martinez anakuja Becker kisha Leno.

Kepa hayupo hata kumi bora.

Kama ana ubora unaoudai hapa Andre onana wa kazi gani? Yule kipa wa Coppenhagen wa kazi gani?
Me nina uhakika Kepa akija arsenal akosi namba. Hata iweje, apo ndo utajua ubora wake..

#CFC
 
Leo baadhi ya mashabiki wa Arsenal tupo kigamboni

Tumekuja kutoa msaada kwa kituo cha watoto Yatima

Nitapost picha chache baadae

Nimepewa taarifa asubuhi , nimeungana kushiriki baraka


ONCE GUNNER ALWAYS GUNNER
Kwaiyo adi mbebe Community shield ndo mukumbuke kutoa misaada acheni unafiki

Enewei mmefanya vizuri.
 
Unconfirmed news that Arsenal will start a tour this week in Scotland, Northern Ireland and Ireland as part of preparations for the Epl Season before returning to London next Sunday. Arsenal's matches have not been announced in this round yet, although there are rumors of a confrontation with Celtic in Glasgow
IMG_20200830_223905.jpg
 
Back
Top Bottom